AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Badilisha simu shad,hiyo P5 ya TECNO hauwezi sikia ladha ya hili HIROSHIMA
MKuu mimi ni msikilizaji wa mziki mzuri, playlist yangu imejaa nyimbo za Diamond tangu "Nenda kamwambie" hadi Nana" though sio fan wa Mondy lakini haiondoi uhalisia kimziki jamaa yupo juu, Tukiweka pembeni uteam, kama unafatilia vizur mziki wa sasa umechange sana, hasa ktk midundo, wasanii wamechange sababu nyimbo za sasa hata kama ni ujumbe lakin hakuna namna ni lazima uiweke tu kwenye aina fulan ya kia afro pop, Mfano Aiyola, Nana, hata msanii wangu Alikiba kama umemfatilia utaona kuna mabadiliko fulan makubwa kayafanya tangu mwana had sasa nagharamia, kutokana na kasi ya mziki wa kisasa africa nzima inamlazimu msanii atoe wimbo uliyochangamka fulan au beat lenye amsha na viuafro pop kwa mbali, ndiomana christian bella anakomalia sebene fulan hivi za amsha amsha.
Hebu kumbuka ile Nana ya Diamond ule wimbo ndiyo hadhi sasa ya Diamond, lakini sio hii, huu ni wimbo wa kujazia Album tu lakin sio hit song, sema sababu game ndio mmelishika nyie, sitoshangaa nitakaposikia top 10 mmeyhika no1 na tuzo kibao umebeba hahaha very interesting.
Lastly usifananishe kabisa hii kaswida ya mondy na #Nagharamia , utakuwa unajitafutia aibu Bure