Diamond awapa onyo KQ kupitia kwa manzi wake, vigogo wa KQ matumbo joto huko Nairobi

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,484
20,436
Diamond ametuma salamu kwa KQ kuwa wajiandae kwa lolote hasa baada ya tanzania kuwa nchi ya kwanza Afrika kuagizandege za kisassa zaidi za Airbus, mara baada ya post ATCL wamedai watu wanaaofanya booking na shirika hilo imeongezeka kwa asilimia 31, asante kijana kwa kujali vya nyumbani kwanza.
Sema shemeji yetu ni kama ana bifu na nguo vile.
 
Ni kama maji utayanywa tu
 
Air Tanzania haiwezi shindana na KQ. ... ukitaka amini Air Tanzania iweke trip ya Kenya
 
Naona anafanya ile "Funika kombe mwanaharamu apite".

Usiwasifie...... wanapanda kichwa hatari. [sio vizuri kutajana kwa makabila]

Diamond kwa hii post na yaliyotokea jana nampa 100%.
Nampa 100% pia, amejua kucheza 'karata' hapa
 

Sponsored post.
 
ATCL bado mko stone age. Mtangoja sana
 
ni sawa na singida Utd vs Barcelona fc hapo
Unamuabisha Tundu Lisu, FC Barcelona unaifananisha na shirika linaloenda kujifia kifo cha mende? Messi pekee akiwekeza hapo KQ hata abilia wasipolipa nauli Shirika litarusha ndege zake hewani. Wenzetu wako mbali sana tusijifananishe tupambane na hali zetu
 
Thubutu ati KQ Barca? ngoja mahesabu ya KQ ya mwaka 2018 yatoke loss lazma iwe juu ya $150mln! Hapo KQ ina deni last $2 bln Afrieximbank!
Loss ya last year ilikuwa $40 million. Sasa itakuwaje loss iongezeke? Sawa wacha tutaona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…