MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,484
- 20,436
Ni kama maji utayanywa tuDiamond ametuma salamu kwa KQ kuwa wajiandae kwa lolote hasa baada ya tanzania kuwa nchi ya kwanza Afrika kuagizandege za kisassa zaidi za Airbus, mara baada ya post ATCL wamedai watu wanaaofanya booking na shirika hilo imeongezeka kwa asilimia 31, asante kijana kwa kujali vya nyumbani kwanza.
Sema shemeji yetu ni kama ana bifu na nguo vile.
View attachment 970744View attachment 970745
Nampa 100% pia, amejua kucheza 'karata' hapaNaona anafanya ile "Funika kombe mwanaharamu apite".
Usiwasifie...... wanapanda kichwa hatari. [sio vizuri kutajana kwa makabila]
Diamond kwa hii post na yaliyotokea jana nampa 100%.
Diamond ametuma salamu kwa KQ kuwa wajiandae kwa lolote hasa baada ya tanzania kuwa nchi ya kwanza Afrika kuagizandege za kisassa zaidi za Airbus, mara baada ya post ATCL wamedai watu wanaaofanya booking na shirika hilo imeongezeka kwa asilimia 31, asante kijana kwa kujali vya nyumbani kwanza.
Sema shemeji yetu ni kama ana bifu na nguo vile.
View attachment 970744View attachment 970745
ATCL bado mko stone age. Mtangoja sanaDiamond ametuma salamu kwa KQ kuwa wajiandae kwa lolote hasa baada ya tanzania kuwa nchi ya kwanza Afrika kuagizandege za kisassa zaidi za Airbus, mara baada ya post ATCL wamedai watu wanaaofanya booking na shirika hilo imeongezeka kwa asilimia 31, asante kijana kwa kujali vya nyumbani kwanza.
Sema shemeji yetu ni kama ana bifu na nguo vile.
View attachment 970744View attachment 970745
So watarajie kutandikwa nane sufurini sawa na singida Utd vs Barcelona fc hapo
Thubutu ati KQ Barca? ngoja mahesabu ya KQ ya mwaka 2018 yatoke loss lazma iwe juu ya $150mln! Hapo KQ ina deni last $2 bln Afrieximbank!ni sawa na singida Utd vs Barcelona fc hapo
Ikiweka route ya nairobi na ikawa cheap kuliko KQ.. Using brand new airbus a220 nan hatotaka kupandaAir Tanzania haiwezi shindana na KQ. ... ukitaka amini Air Tanzania iweke trip ya Kenya
Unamuabisha Tundu Lisu, FC Barcelona unaifananisha na shirika linaloenda kujifia kifo cha mende? Messi pekee akiwekeza hapo KQ hata abilia wasipolipa nauli Shirika litarusha ndege zake hewani. Wenzetu wako mbali sana tusijifananishe tupambane na hali zetuni sawa na singida Utd vs Barcelona fc hapo
Loss ya last year ilikuwa $40 million. Sasa itakuwaje loss iongezeke? Sawa wacha tutaonaThubutu ati KQ Barca? ngoja mahesabu ya KQ ya mwaka 2018 yatoke loss lazma iwe juu ya $150mln! Hapo KQ ina deni last $2 bln Afrieximbank!
Ameamua kujisafisha baada ya ugomvi wake na ATCL huko Mwanza?!
Hutaamin kitakachotokea pale ATCL itakapokanata Nairobi Dar routeAir Tanzania haiwezi shindana na KQ. ... ukitaka amini Air Tanzania iweke trip ya Kenya
Mkuu hiyo ID yako imenikumbusha mbali sana, wimbo wa ngapulilaHutaamin kitakachotokea pale ATCL itakapokanata Nairobi Dar route
Just wait and see