MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,465
- 20,211
Diamond ametuma salamu kwa KQ kuwa wajiandae kwa lolote hasa baada ya tanzania kuwa nchi ya kwanza Afrika kuagizandege za kisassa zaidi za Airbus, mara baada ya post ATCL wamedai watu wanaaofanya booking na shirika hilo imeongezeka kwa asilimia 31, asante kijana kwa kujali vya nyumbani kwanza.
Sema shemeji yetu ni kama ana bifu na nguo vile.
Sema shemeji yetu ni kama ana bifu na nguo vile.