Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,333
Ila asiwe anakeng'enua mijino hivyo noma! Chapati anakunja kweli?
Anaiombea kijanja video yake ilitopigwa stop, akajambie mbele huko kwani Bongo tu mbona hata South na Nigeria n.k nao hufungia video zao za ndani kwa kukosa maadili sembuse hizo kunyimwa tuzo. Hata video ya Skibobo ya marehemu Goldie (R.I.P) ft Ay nchini Nigeria imepigwa stop haina maadili tho huku bongo inapigwa tu
Na nyimbo ya Ashawo ( malaya ) ilipigwa marufuku Nigeria lakin nilishangaa Tanzania inapigwa hadi kwenye maharusi na sherehe ata za kitaifa.
Na ile nyimbo imejaa matusi mwanzo mwisho
Aliyekuambia ya kuwa kuachivu golz inatokana na kupewa uhuru usio na mipaka ni nani ?
MJ, Bob Marley, UB 40 ,ABBA na wengine wameachivu hizo golz bila ya kuimba wala kuandaa video zisizotazamika na familia.....
......ANAYEJUA ANAJUA TU, MR DIAMOND.....hata ukiimba na kutengeneza video ukiwa umekaa tu kwenye kiti mwanzo mwisho jamii itakuelewa.
Kitumbua anarushia mdomoni kama karanga!!
Kitumbua anarushia mdomoni kama karanga!!