Nyimbo nzuri, video poa, ila mie hawa wabongo wa ufleva waliokuwa wanazunguka na Jakaya Kikwete kwenye kampeni bado najisikia kichefuchefu nikiwaangalia.
Kipi bora kuzunguka na JK kama Diamond nk. au kufichwa na Sugar mami kama Jafarei wana Ngwasuma wote?? manake ndio dili za wasanii wengi wa bongo kwa sasa.
jamani hiki kitu kimetulia huwa kinanitoa machozi,Diamond we mkali kaka watake wasitake,ila Kiba nae ana kitu cha uhakika sijui kinaitywa mapenzi mhh watoto wakali hawa sio wengine wasindikize wimbo na kashfa kwa walezi wao.
Hahah lakini umeona maoni ya huyo mdau shosti... kaweka wazi kabisa hisia zake kwenye huo wimbo ila mwishoni kaongezea na hicho kibao cha upande wa pili. Ila ingekuwa zama hizi mwishoni hiyo post ingemalizika hivi 'KAJIANDAE IKASUBIRI'.Hawa jamaa kumbe wametoka mbali. Ila kipind hicho kiba alikuwa anatisha sana
Yah ni kweli aseeHahah lakini umeona maoni ya huyo mdau shosti... kaweka wazi kabisa hisia zake kwenye huo wimbo ila mwishoni kaongezea na hicho kibao cha upande wa pili. Ila ingekuwa zama hizi mwishoni hiyo post ingemalizika hivi 'KAJIANDAE IKASUBIRI'.