tazamo sahihi kabisa kwa muda sahihi, ukiingia sound city top 10 kuna nyimbo 2, nana na nakupenda na nasema nao unapigwa sana hata trace tv na afro pop tv zao ni hivo hivo, na mtv base napo anakimbiza inabidi apumzike kidogo wasimchoke maana kuna collabo za psquare na fally ipupa nazo hazijatoka hizi nadhani zitatoka mwakani.
+me sizani kama ni uamuzi sahihi kukataa collabo, kwa sababu collabo zinamfanya msanii aendelee kua juu hata kama hajatoa wimbo wake binafsi.
+collabo humuongezea msanii fanbase yake mfano kwa collabo na Iyanya tu leo hii die hard fans wa Iyanya wanampigia kura kwenye best collabo MTV.
+pia hata kama ameamua kusitisha collabo hakutakiwa kutangaza, angekua anazikataa kimya kimya tu, sababu yeye ameshakua star Africa kila anachosema kinaandikwa leo hii wanaija wakiipata hii habari hawatamuangalia kwa jicho zuri!
+me sizani kama ni uamuzi sahihi kukataa collabo, kwa sababu collabo zinamfanya msanii aendelee kua juu hata kama hajatoa wimbo wake binafsi.
+collabo humuongezea msanii fanbase yake mfano kwa collabo na Iyanya tu leo hii die hard fans wa Iyanya wanampigia kura kwenye best collabo MTV.
+pia hata kama ameamua kusitisha collabo hakutakiwa kutangaza, angekua anazikataa kimya kimya tu, sababu yeye ameshakua star Africa kila anachosema kinaandikwa leo hii wanaija wakiipata hii habari hawatamuangalia kwa jicho zuri!
+me sizani kama ni uamuzi sahihi kukataa collabo, kwa sababu collabo zinamfanya msanii aendelee kua juu hata kama hajatoa wimbo wake binafsi.
+collabo humuongezea msanii fanbase yake mfano kwa collabo na Iyanya tu leo hii die hard fans wa Iyanya wanampigia kura kwenye best collabo MTV.
+pia hata kama ameamua kusitisha collabo hakutakiwa kutangaza, angekua anazikataa kimya kimya tu, sababu yeye ameshakua star Africa kila anachosema kinaandikwa leo hii wanaija wakiipata hii habari hawatamuangalia kwa jicho zuri!
+me sizani kama ni uamuzi sahihi kukataa collabo, kwa sababu collabo zinamfanya msanii aendelee kua juu hata kama hajatoa wimbo wake binafsi.
+collabo humuongezea msanii fanbase yake mfano kwa collabo na Iyanya tu leo hii die hard fans wa Iyanya wanampigia kura kwenye best collabo MTV.
+pia hata kama ameamua kusitisha collabo hakutakiwa kutangaza, angekua anazikataa kimya kimya tu, sababu yeye ameshakua star Africa kila anachosema kinaandikwa leo hii wanaija wakiipata hii habari hawatamuangalia kwa jicho zuri!
Si unajua bongo waandishi labda pia hawakumnukuu vizuri kama kaqaida ya Tanzania.
+me sizani kama ni uamuzi sahihi kukataa collabo, kwa sababu collabo zinamfanya msanii aendelee kua juu hata kama hajatoa wimbo wake binafsi.
+collabo humuongezea msanii fanbase yake mfano kwa collabo na Iyanya tu leo hii die hard fans wa Iyanya wanampigia kura kwenye best collabo MTV.
+pia hata kama ameamua kusitisha collabo hakutakiwa kutangaza, angekua anazikataa kimya kimya tu, sababu yeye ameshakua star Africa kila anachosema kinaandikwa leo hii wanaija wakiipata hii habari hawatamuangalia kwa jicho zuri!
hajakataa mkuu amesitisha kwa muda kidogo ili kutoa nafasi zilizopo zitoke zipo nyingi sn mkuu
hii point ya mwisho umewaza kama mimi,but kwa ufanye kazi kwa kuwAogopa wanaija? "be u and not them"
huu kama kazi zime mtinga ni bora asitishe tu kolabo ili apate muda wa kufanya mambo yake.au kama vipi ampigie pande bwana mifugo aende akapige kolabo na wanaija.
Uko sahihi hapo mwishoni
+Sawa mkuu lakini mziki wetu bado sana kufikia level ya kutamka hadharani vitu kama hivi.
+ kweli hatuwezi kuwaogopa wanaija, lakini soko la naija ni muhimu sana kwetu. Kumbuka hawa jamaa ndo wako on top sasa hivi Afrika na sisi kwa mbaali tunawakaribia na hiyo ni kwa juhudi kubwa ya Chibu.
+Sawa mkuu lakini mziki wetu bado sana kufikia level ya kutamka hadharani vitu kama hivi.
+ kweli hatuwezi kuwaogopa wanaija, lakini soko la naija ni muhimu sana kwetu. Kumbuka hawa jamaa ndo wako on top sasa hivi Afrika na sisi kwa mbaali tunawakaribia na hiyo ni kwa juhudi kubwa ya Chibu.
Mziki wetu au wengine ambao sio Chibu labda na yeye ametamka ili asieleweke vibaya kuwa anasitisha maana anaweza kujikuta hapati mapumziko kama hivi nyimbo nyingi zikaingia hata zake mwenyewe hapati muda wa kuziweke promo.
Wengine wanatangazaga sasa hao wa TZ na muziki wetu wanapata nafasi ya kutanua na hao wa nje wafanye collabo nao wapae sasa sio kumzingizia kula kitu Diamond sababu hawajitumi.