Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,936
Kijana anayeiwakilisha vyema Tanzania kila kona ya dunia ameibuka tena na Tuzo mbili kama msanii bora Afrika kwenye tuzo za TOOXCLUSIVEAWARDS na msanii bora wa Afrika kwenye tunzo za TRENDS LOADED.
Msanii huyu amewakalisha wakali wengine kama Davido,WizKid,AKA,Vanessa Mdee,Sarkodie,Toofan,Saut Soul na wengine wengi
Hongera sana Chibudiii Chibudeee, Jirani anayependa kiki kupitia mademu wa zamani wa Chidueee Jipange sana.