Diamond amnunulia mama yake gari la mil.38

Ila wasanii wa Tanzania waongo sana, wakifa ndio ukweli unajulikana wengine watakufa na madeni au hata nyumba hawana
 
Ila wasanii wa Tanzania waongo sana, wakifa ndio ukweli unajulikana wengine watakufa na madeni au hata nyumba hawana

Yaani hawa wasanii hawaaminiki kabisa, kanumba watu walisemaga ndo msanii tajir kuliko wote, kafa kumbe hata nyumba hana, lile v8 alinunua kwa mkopo alitoa mil40 deni lingine kafa nalo, aya kuambiana mikwala ya english na kujifanya gentleman kumbe ni yahaya hana hata chumba alichopanga achilia nyumba, yani marehemu alikuwa popote kambi, kifo chenyew kimemkutia guest, yani wasanii wetu hawa mmh
 
kweli hapo diamond umefanya vizuri ila ningekushauri ungemfungulia kwanza biashara ambayo angeweza kuifanya hata ukiondoka duniani asitie aibu kama wamama wengine wa watoto mashuhuri walivyo

maana hilo gari kwanza utampa presha bure mamayako, pili nani atakuwa akimuendesha

cha muhimu na cha kufanya mdogo wangu diamond wewe mfungulie biashara ili aifanye ndo itakayomuokoa yeye na sio starehe ya gari ingawaje nalo ni muhimu kwake
 
wanatafuta umaarufu kupitia vitu vya uongo hawajui kuwa itawagharimu bure hiyo
Yaani hawa wasanii hawaaminiki kabisa, kanumba watu walisemaga ndo msanii tajir kuliko wote, kafa kumbe hata nyumba hana, lile v8 alinunua kwa mkopo alitoa mil40 deni lingine kafa nalo, aya kuambiana mikwala ya english na kujifanya gentleman kumbe ni yahaya hana hata chumba alichopanga achilia nyumba, yani marehemu alikuwa popote kambi, kifo chenyew kimemkutia guest, yani wasanii wetu hawa mmh
 
wanatafuta umaarufu kupitia vitu vya uongo hawajui kuwa itawagharimu bure hiyo

Wanaona wa2 hatujui thamani ya vitu istoshe huyo maza nae walewale instead amshauri mwanae amjengee hata nyumba anaona raha kupisha kwenye korido na mwanae kavaa boksa mlegezo huku kifua wazi.
dhahabu za 90m ni gram 900 kwa bei ya laki kwa gram hiyo cheni ya 60m ni sawa na gram 600,kwa afya gani huyo maza aivae shingoni c ataanguka jamani cz ni nzito sana
 
kweli hapo diamond umefanya vizuri ila ningekushauri ungemfungulia kwanza biashara ambayo angeweza kuifanya hata ukiondoka duniani asitie aibu kama wamama wengine wa watoto mashuhuri walivyo

maana hilo gari kwanza utampa presha bure mamayako, pili nani atakuwa akimuendesha

cha muhimu na cha kufanya mdogo wangu diamond wewe mfungulie biashara ili aifanye ndo itakayomuokoa yeye na sio starehe ya gari ingawaje nalo ni muhimu kwake

Biashara anayo, si nilisikia walichapisha T-shirt za wasafi classic uko ulaya, sasa sijui iliishia wapi, H.O.D alikuja akaipamba hiyo biashara yao, sijui iliishia wapi. Yani ndomo ujanja wote wa kukutana na akina davido kaona ku print tshirt na kuuza ndo ujanja? Akifa mama yake ndo atategemea hiyo biashara? Mmh apa ndo naona umuhimu wa ELIMU
 
Wivu wivu ni kidonda jamani. Hospitali ya wivu sijaijua ningewaelekeza muende. Duuuh hatariiiiiiiiii.
 
  • Thanks
Reactions: Sal
angempata meneja wa music yake wa kumshauri vizuri angefika mbali maana anafanya vitu visivyoeleweka kabisa
Biashara anayo, si nilisikia walichapisha T-shirt za wasafi classic uko ulaya, sasa sijui iliishia wapi, H.O.D alikuja akaipamba hiyo biashara yao, sijui iliishia wapi. Yani ndomo ujanja wote wa kukutana na akina davido kaona ku print tshirt na kuuza ndo ujanja? Akifa mama yake ndo atategemea hiyo biashara? Mmh apa ndo naona umuhimu wa ELIMU
 
angempata meneja wa music yake wa kumshauri vizuri angefika mbali maana anafanya vitu visivyoeleweka kabisa

Tusimlaumu binamu, unajua kuanzisha biashara na chenyewe ni kipaji? Mwenzetu ndomo naona hicho kipaji hana, ye mwambia habar za kina nelly na chris brown apo mtaelewana
 
Hapa ni wivu wa watanzania uliokithiri, huu ni ugonjwa sugu wa watanzania usokua na dawa wala hospitali. Kutwa tuko negative na maendeleo ya wengine, kila mtu amesema aliloweza kusema kwa uwezo na upeo wake lakini kila ukiangalia ni wivu tu unawasakama. Diamond na mama yake hawakwenda shule ndio maana hafikirii nini afanye, nime quote mliyoandika. Nyie ambao vidato vimepanda hamkupaswa pia kuongea haya mnayoyaongea. Watu wasiosoma ndio wanaweza kuongea haya.
Kujenga au kuangalia kesho haihusiani na elimu wala darasa la mtu, bali akili na wito wa kufanya kile kitu. Sio Marehemu Kanumba au Diamond ambao wana pesa Tanzania na hawakufanya hayo mnayotaka, wako viongozi walioshika nyathifa mbali mbali kubwa tu na uwezo ulikuwepo lakini akili ya nitafanya kesho iliwatawala, walipoondoka madarakani walirudi kwenye vibanda vya wazazi wao vijijini bila chochote. Hawakua na nyumba wala magari ya kifahari waliyokua wanatembelea hapa mjini, hao ni wazee kabisa lakini hawakuangalia kesho.
Diamond na Marehemu Kanumba (RIP) bado hata 30 hawajafika, they still have time kama wana uhai na uzima.
Nitafurahi kama nyie ambao mmesoma sana mtatuorodheshea hapa rasilimali zetu tuzisome japo kwa uchache ili tujue na nyie wasomi mmefanya ya maana na mmeona kesho mkiwa bado vijana.
Acheni hizo, mpeni sifa Diamond pale anapostahili.
 
hili genge la wauza sembe kwanini halitiwi nguvuni???????????
 
Nachelea kusema tena juu ya hili nisije nikaambiwa nina kale kakidonda ambako ukikashiriki unakonda (a.k.a WIVU).
Kwa ufupi tu naona madhara ya kukosa kazi na kutoelimika. Kila jambo unataka watu wajue na hapo sijui hata kama ni ukweli maana wadadavuzi waliotangulia, wanatoa changamoto (wana challenge) hata uhalisia wa jambo tajwa.

Hivi kumtuza mama yako (sizungumzii kumlipa maana hatuwezi kwa yote waliyotutendea) ni mpaka ualike watu? Na utangaze? Ikiwa hivyo mbona magazeti kurasa zingejaa maana kila siku kuna tendo la wema linatendeka kwa mzazi. Tendo la wema si lazima gari kwa maana kila mtu anajikuna pale anapofika, mradi linatoka kwa dhati. Hata ukimnunulia ndizi mshale mkungu kama ndio unachoweza, basi hapo unabarikiwa.

My Take:
Tupunguze shobo na vitu visivyo vya lazima.
Tupende kuitafuta elimu maana itatuhekimisha na kujua lipi la kunena na lipi silo; halikadhalika lipi la kutenda na lipi silo.
Tutafute kazi za kufanya ili kuishi kwetu duniani kuwe na tija na alama (legacy). Mchango wa maendeleo kwa taifa, huanza na mtu mmojammoja na kwa matendo au kazi kidogokidogo. Huu muda tunaopoteza kupiga mapicha ( yakiwemo ya uongo), kushona masare kwa matukio ya kipuuzi ( nikijaliwa muda na hekima nitakuja kulizungumzia hili la sare siku nyingine) na kufanya sherehe za ushobozi zinazoingiza gharama ambazo hatuwezi kuziziba wala kuzizalisha ni kuchimba njia ya kuelekea umaskinini (both wa mali na fikra)

Asanteni
 
Hapa ni wivu wa watanzania uliokithiri, huu ni ugonjwa sugu wa watanzania usokua na dawa wala hospitali. Kutwa tuko negative na maendeleo ya wengine, kila mtu amesema aliloweza kusema kwa uwezo na upeo wake lakini kila ukiangalia ni wivu tu unawasakama. Diamond na mama yake hawakwenda shule ndio maana hafikirii nini afanye, nime quote mliyoandika. Nyie ambao vidato vimepanda hamkupaswa pia kuongea haya mnayoyaongea. Watu wasiosoma ndio wanaweza kuongea haya.
Kujenga au kuangalia kesho haihusiani na elimu wala darasa la mtu, bali akili na wito wa kufanya kile kitu. Sio Marehemu Kanumba au Diamond ambao wana pesa Tanzania na hawakufanya hayo mnayotaka, wako viongozi walioshika nyathifa mbali mbali kubwa tu na uwezo ulikuwepo lakini akili ya nitafanya kesho iliwatawala, walipoondoka madarakani walirudi kwenye vibanda vya wazazi wao vijijini bila chochote. Hawakua na nyumba wala magari ya kifahari waliyokua wanatembelea hapa mjini, hao ni wazee kabisa lakini hawakuangalia kesho.
Diamond na Marehemu Kanumba (RIP) bado hata 30 hawajafika, they still have time kama wana uhai na uzima.
Nitafurahi kama nyie ambao mmesoma sana mtatuorodheshea hapa rasilimali zetu tuzisome japo kwa uchache ili tujue na nyie wasomi mmefanya ya maana na mmeona kesho mkiwa bado vijana.
Acheni hizo, mpeni sifa Diamond pale anapostahili.

Una maneno mengi ila point sijaiona, Hawa wasanii sisi tunawajua vizur , wanajishaua apa sasa ivi mara ooh nina cheni ya mil 200, ooh sijui nina gar la mil600, yakiwakuta ndo wanaanza sasa kutembeza mabakuli kwa watu, lazima tuwaseme maana wanatuaribiaga budget zetu kutwa kutembeza mabakuli ooh mtanzania mwenzetu jamani , sasa na sisi ndo tunawakumbusha wafanye ya maana sio uasherati na sifa za kijinga. Nimemaliza
 
simpatii picha babake diamondo now anajutaje huko aliko!! ila ipo siku mzee wa watu atasamehewa na huyu diamond maana kama diamond amefunga mwez mtukufu huu, bas amefunga bure sidhan kama mungu anahesabu mfungo wake.. SAMEHE MARA 70 as god says na yeye amekiuka 100%.. au mnaonaje wakuu? jamaa anafunga au anakaa njaa tu mwezi huu mtukufu?

#Team_Babaake_dimond
 
♥Diamond ndio tajiri wa kwanza tanzania kununua magari mapya yaliyosajiriwa zamani
~BX .....V8
~AY........Fun cargo
~CM........Harrier Lexus

alishayanunuwa siku nyingi alikuwa ameyahifadhi kwenye yard yake kusubili muda muhafaka.
 
Back
Top Bottom