Wakajifunze Kenya wanavyo deal na mambo ya utalii!
Sasa unawaita bongo movie wasanii wanao vaa pichu kubw sjui bngo fleva... Ujing Ujing tu
Hpo kna dem lnye msambwanda mkbw kna mtu alikuwa anamvizia ale naye pipi tu
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ujaelewekaKigwangala siku nilipogundua akili ndogo,nilikua muhimbili nasubili Dr afike kulingana na clinic yangu ilivokua,sasa ghafla kigwangala anatokea emergency area ndipo nilipoazia kumwona kutokea ICU ,kuna nesi moja alikua mweupe simnene ila anawembamba mzuri kama 5 kuelekea 6,yule nesi kambana kigwangala (waziri) huyu ,sitaki nimalizie naamini ashakula mzigo au kuharibu ndoa yayule nesi...jamaa kavaa jeans kabana file kwapani nadhani likikua na taarifa zauvunjifu wamkono kumbukeni ajali....kuazia ile siku nilijua jamaa anatatizo kichwani,ilikua MOI muhimbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo wakipata mwanya wa kukuchana wanakuwa zaidi ya mashetani....Huyo Kingangwala ni mtu wa mademo...Flabian Matata ni ngoma yake na ndio maana kila mwaka anampa fursa kutembea mbugani.
Anatumia vibaya madaraka yake.
Sent from my iPad using JamiiForums
Jamaa linapiga hela za serikali kilainiiiiii halafu likiulizwa unaonaje tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana linajibu kirahisi rahisi tu 'VIJANA HAWA-THINK OUT OF THE BOX'
Think of of the box maviiiiiiiiiii.
dodge
Kashfa ndogondogo eeeh. Eti '"sio ishu" mulaKigwangala amefanya mengi Sana Maliasili na utalii,hzi kasfa ndogondogo na wasanii wa bongo sio ishu.
So?
Sent from my iPad using JamiiForums
Toka lini?Ndoa imetia nanga tayari.
Mkuu upo?Kigwangala amefanya mengi Sana Maliasili na utalii,hzi kasfa ndogondogo na wasanii wa bongo sio ishu.
Njoo tengua kauli hukuSiko upande wowote,lakini habari inalenga kumchafua Dk.Hamisi Kigwangala
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu mam samia suluhu,mizengo pinda,huyu dr abas kigwangala hajakamatwa tuuAh ah huyu jamaa janja janja sana kigwangala halafu anajikuta albert einstein, anod swaziniga, mandela, amber rutty anajikuta rihana jay z maakili mengi