Diamond ‘amkaanga’ Dk. Kigwangalla

Huyo Kingangwala ni mtu wa mademo...Flabian Matata ni ngoma yake na ndio maana kila mwaka anampa fursa kutembea mbugani.
Anatumia vibaya madaraka yake.


Sent from my iPad using JamiiForums

Acha ujinga. Flaviana Matata ni mke wa mtu!
 
Hahaha hakunaga wasanii wabongo ambao ni wazalendo ..wote ni opportunist

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Anapenda sana kumuiga January Makamba. Ila Makamba ni level zingine.
 
Hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is not acceptable. Buana Waziri kuliko?
 
Kigwangala siku nilipogundua akili ndogo,nilikua muhimbili nasubili Dr afike kulingana na clinic yangu ilivokua,sasa ghafla kigwangala anatokea emergency area ndipo nilipoazia kumwona kutokea ICU ,kuna nesi moja alikua mweupe simnene ila anawembamba mzuri kama 5 kuelekea 6,yule nesi kambana kigwangala (waziri) huyu ,sitaki nimalizie naamini ashakula mzigo au kuharibu ndoa yayule nesi...jamaa kavaa jeans kabana file kwapani nadhani likikua na taarifa zauvunjifu wamkono kumbukeni ajali....kuazia ile siku nilijua jamaa anatatizo kichwani,ilikua MOI muhimbili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha.... Saivi nshamuelewa kigwa kumbe nje ya box maana yake ni kuiba.
 
Ni suala la muda tu.Magufuli anawalia timing tu kwasababu bado anawahitaji kwenye uchaguzi unaokuja.baada ya uchaguzi atawafumua wote.ile wizara inahitaji mtu mwenye akili za kuiongoza ili ilete matokea yanayotakiwa.lakini the system is corrupt na wanaopaswa kuteuliwa ni walewale ambao wamekuwa kwenye system kwa miaka yote na ambao hawajaweza kubadilisha chochote zaidi ya kubadilisha wizara tu.makatibu wakuu wa wizara ndio watendaji lakini nao wamekuwa kama mawaziri.na hata wanao jaribu kubalisha mambo wanapatwa na upinzani mkubwa sana mpaka wanaamua kutulia.Ila Magu knows this.Ana kazi kubwa sana kubadilisha mambo na upinzani mkubwa sana kutoka kwa wasaidizi wake.Mungu amwongoze kwakweli
 
Ah ah huyu jamaa janja janja sana kigwangala halafu anajikuta albert einstein, anod swaziniga, mandela, amber rutty anajikuta rihana jay z maakili mengi
Mwenyewe anandoto ya kuwa rais na kiyabu chake kakiita KIGWANOMICS NACHEKAGA.
 
Pole sana,wizarani na idara za serikali kuna vikwanzo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…