Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

80% ya wabongo wakija juwa kuwa hizo bifu za hawa wasanii wao ni za kupanga ili waweze kuandikwa ktk magazeti ya udaku na kurushwa kila kukicha ktk redio zao zile za tende halua nadhani watakuwa wamepiga hatua kuubwa mno za kuelekea ktk mabadiliko ya kweli.

Huyo bob Junior ni Gagulo na huyo Diamond ni Sidiria.
Hawana bifu wala nini ila kinachofanyika hapo ni kujaribu kuwateka wabongo wawe wanafuatilia hizo porojo zao.

Kwa mfano ile bifu ya WEMA na Diamond.
kwa mwelewa atagundua kuwa hapakuwa na lolote wala chochote, Wema na Diamond ni marafiki wa kawaida tu na hapakuwa na uchumba wala ushuzi.
Kufanya vile kumepellekea Diamond awe juu kwa kipindi choote tangu kuanza kwa vurumai zao.
Tumeshuhudia pia akitoa nyimbo zinazomuelezea yule mpuuzi mwenzie, so hii inawateka wakurupukaji na kisha wanachukulia ujinga ule ni kweli.

Hii ni hatari sana kwa mustakabali wa Diamond, kwani siku mandondocha yatakapoamka na kugundua kuwa yalikuwa yamelala huku udenda unachuruzika basi hakutakuwa tena na tuzo au nyimbo inayobamba.

nawashauri tu wafuate nyayo za Ally KIBAKA kwani yeye amekuwa ni msanii anayetamba kila siku pasipokuwa na skendo au controvesy yoyote ile.

Heshima kwako Ally Kiba...

Huu usakala pia waliwahi kuufanya Kanumba na Ray, then baada ya kuona kuwa jamii husika imeshobokea habari zao ndipo wakatoka na igizo lao lililoitwa Offside.

Ni upumbavu uliomithirika kwa wasanii wa siku hizi.

Manca del testo.

umenifurahisha hapo kwa Ali k.kiukweli ALIKIBA ni kati ya wasaníi wachache walioweza kuhit mda mrefu pasipo kutegemea bifu/skendo.respect kwake..
 
kama Diamond ndo aligundua kipaji cha Omy dimpoz mbona hakumtoa yeye hadi kaja kutolewa na Ali k?
 
Tunaacha kuzungumzia ROMA mkatoli, tunajadili wabana pua hawana inshu bana. Kwanza d'mond hana sura ya uwamziki, anapendezea akiwa mpaka rang kucha za madu au muuza vyombo mtaani. Wabanapua wenyewe wali wa shekhe, kwishneeeeeeiiiiiiii.
 
anamtukuza kweli
Time yake kwanini nisimpe mashavu!taja takataka yeyote ya bongo flava anayeshine kama platinumz!!!juzi kadhihirisha umwamba wake mpaka katika vidudu mtoni!.....guess nani ndo mjanja wake katika uvaaji.....the man himself PHD!
 
kweli nimeamin habari za tajiri muulize masikini atakwambia kila kitu mpaka bei ya kiatu alichovaa.
 
Time yake kwanini nisimpe mashavu!taja takataka yeyote ya bongo flava anayeshine kama platinumz!!!juzi kadhihirisha umwamba wake mpaka katika vidudu mtoni!.....guess nani ndo mjanja wake katika uvaaji.....the man himself PHD!

Bibi cheka balaa...
 
Platinumz wamuache kwa sasa!next level huyu mnyama....sharo short chasis asilete za kumvimbia huyu mnyama diamond!hawako ligi moja!
Nimejitahidi kurudia rudia post hii lakini nimeshindwa kuelewa mnyama gani anayeongelewa hapa, na hata hiyo short chasis sijajuwa bado ni gari gani?......ni heri nirudi kwenye jukwaa langu muhafaka huku nimepotea njia.
 
Tunaacha kuzungumzia ROMA mkatoli, tunajadili wabana pua hawana inshu bana. Kwanza d'mond hana sura ya uwamziki, anapendezea akiwa mpaka rang kucha za madu au muuza vyombo mtaani. Wabanapua wenyewe wali wa shekhe, kwishneeeeeeiiiiiiii.

deejay nasmile LIKE your comment
 
Watoto wa kiume wanavaa suruali za kubana sijui ni hips au ni makalio kama huyo ommy d ana hips halafu anavaa vinguo vya kubana,sijui naye na huyo diamond ni wanauza mapaja au hips au ngongingo.upuuzi mtupu.
 
Mi ninajua "nai nai" Kama pinyin ya characters za kichina "奶奶" zikiwa na maana ya bibi mzaa baba kama nitakuwa sijakosea
 
huyu ommy dimpoz naye inabidi ashauriwe suruali za kuvaa!!mtu ana vitako halafu anagonga skin jeans
mie najua kuna vitako vya aina mbili kwa wanaume
vya kuvalia suruali na vya kufanana na dada zako kama warangi na wasomali,sasa cha dimpoz ni kipi hapo?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom