Nakumbuka wakati Rais Magufuli anafunga kampeni zake mkoa wa Mwanza alimsifu jamaa kwa kufa coverage ya mikutano yake na mgombea mwenza kuwa mubashara na akaahidi KUTOMUANGUSHA. Wengi tulidhani angepewa kitengo nyeti sana serikalini kutokana na ahadi ya Rais ila tofauti na matarajio naona wameamua kumsomesha namba kwa kukwepa kodi.
Kufungiwa account au kufunga office ndio utaratibu ninaojua,sio kwenda kusomba vitu kwa nguvu hadi kusababisha uharibifu namna ile!Lile suala ni siasa imeingizwa ndani!Vipi haikutolewa Notice akapewa deadline?? Huyu si umesikia amefungiwa Account...
Bil 4- mazungumzo yanafanyikaAfadhali yake Diallo amekiri kudaiwa na anafanya mazungumzo ya kulipa deni. Ila Kaka Aikael sasa!
Huu ndio ukomavu kisiasa,kodi lazima kila mtu alipe na bora amekiri kudaiwa na kufungiwa akaunti na kaonyesha utii,hamna jinsi ambavyo raisi anaweza kwenda TRA na kufuta madeni hiyo itakuwa kashfa na ningemshusha thamani kwa hilo.Kuna namna tu Diallo atasaidiwa kama ambavyo wazalendo wengine walivyopewa fursa. Nampongeza kwa kutokutoa sababu za kisiasa kama ambavyo tumesikia wengine wakitaka huruma.Nakumbuka wakati Rais Magufuli anafunga kampeni zake mkoa wa Mwanza alimsifu jamaa kwa kufa coverage ya mikutano yake na mgombea mwenza kuwa mubashara na akaahidi KUTOMUANGUSHA. Wengi tulidhani angepewa kitengo nyeti sana serikalini kutokana na ahadi ya Rais ila tofauti na matarajio naona wameamua kumsomesha namba kwa kukwepa kodi.
TRA utaratibu wao ndio huo... Ila Mbowe yeye anadaiwa na NHC. Wao pia wana utaratibu wao.. Kwani Mbowe ni mpangaji pekee wa kwanza kutolewa vitu nje na NHC??Kufungiwa account au kufunga office ndio utaratibu ninaojua,sio kwenda kusomba vitu kwa nguvu hadi kusababisha uharibifu namna ile!Lile suala ni siasa imeingizwa ndani!
Bil 4- mazungumzo yanafanyika
Bil 1-anafurumushwa na vitu nje ya ofisi
Acha roho mbaya wewe.Alitoa Air time ndefu kumtukana Lowasa na kukaribisha watu kumkashifu Lowasa, badala muda huo angeutumia hata kupokea matangazo ya biashara kwa kufanya punguzo la bei hata kwa asilimia hamsini tu ingempa hela ya kupunguza deni, haya kina mwakyembe wao wamefaidika na uwaziri yeye AIBU safi sana Mungu analipa haraka kweli kweli.
Hahaha jamaa kauzu sanaNa kujipendekeza kote kwenye uchaguzi?
Ok well, he is reading numbers.
Hivi ni vitu viwili tofauti, Bil 1 ni kodi ya pango anayodaiwa na mwenye nyumba, na hii Bil 4 ni koti ya mapatoBil 4- mazungumzo yanafanyika
Bil 1-anafurumushwa na vitu nje ya ofisi
Kesi si iko mahakamani?Kwann isisubiriwe hukumu?Diallo kakiri kuwa anadaiwa ndiyo maana mdai atamsikiliza namna ya kulipa. Kaka Aikael yeye hakubali deni ndio sababu kafurumushwa kwa kuleta usanii wake wa kizamani.
Najua mbowe anakesi na NHC na iko mahakamani,kwann wao wajichukulie uamuzi huo kabla ya mahakama kutoa hukumu?Je akishinda!TRA utaratibu wao ndio huo... Ila Mbowe yeye anadaiwa na NHC. Wao pia wana utaratibu wao.. Kwani Mbowe ni mpangaji pekee wa kwanza kutolewa vitu nje na NHC??
Na sasa kakimbilia mahakamani chezea Mbowe wewe Mtoto wa mjini! Na sasa anakwenda kuisumbua mahakama.Bora huyu kakubali sio Mbowe povu linamtoka kama kameza foma
izo salakasi zao tushazielewa kitambo wasijisumbuwe kabisa hakuna wakumdanganyanaona maigizo tu ili ionekane wamebalance stori ya Mbowe kurushiwa vitu nje .....kwamba hata ccm wanadaiwa....mtukufu hawezi mwangusha msukuma mwenzie
Kesi iko mahakamani,inakuaje unajichukulia maamuzi hayo huku hujui hukumu ya mahakama?Hivi ni vitu viwili tofauti, Bil 1 ni kodi ya pango anayodaiwa na mwenye nyumba, na hii Bil 4 ni koti ya mapato