Dharau kwa viapo vya viongozi, janga linalohitaji maombi

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,798
71,218
".....Naapa kuwa nitailinda na kuitumikia katba ya Tanzania eeMUNGU nisaidie". Hivyo ni viapo tunavyosikia wakiapa kwa Mungu wao kuanzia Rais hadi wabunge na kutetekeleza kiapo ni dharau kwa uliyemuapia na ni laana pia.
Sasa hili jambo limekuwa janga kubwa kwa nchi kama ulivyo ukame au mafuriko.

Na kama ilivyo desturi, majanga yatokeapo kwa pamoja tunaandaa maombi ya pamoja ili Mungu atuepushe na majanga hayo, hivyo basi kwa janga hili LA viapo hewa vya viongozi wetu na kufuru wafanyayo kwa kuapa mbele za Mungu kisha hawatekelezi viapo tuandae maombi kumuomba Mungu awashughulikie wote bila kujali cheo chake ALIYE APA NA KWENDA KINYUME NA KIAPO.

Nadhani Mungu akijibu sala zetu kwa kuwapiga ukoma au ajali mfululizo wale wanaomdhihaki tabia hiyo itapotea na Taifa litajiepusha na laana.
 
Tulipaswa kuwachukulia hatuA wenyewe lakini hatuwezi kuchukua hatua kwa woga wetu na unafiki. Tuko radhi kusifia usoni lakini moyoni tunaumia kama walivyo baadhi ya wabunge wa ccm wanapinga sana kinachoendelea lakini usoni wanajifanya wanaunga mkono.
Sada kwa vile hivi viapo wanaapa kwa Mungu basi tumuombe yeye mwenyewe achukue hatua maana hamuogopi mtu
 
".....Naapa kuwa nitailinda na kuitumikia katba ya Tanzania eeMUNGU nisaidie"
Hivyo ni viapo tunavyosikia wakiapa kwa Mungu wao kuanzia Rais hadi wabunge na kutetekeleza kiapo ni dharau kwa uliyemuapia na ni laana pia.
Sasa hili jambo limekuwa janga kubwa kwa nchi kama ulivyo ukame au mafuriko. Na kama ilivyo desturi, majanga yatokeapo kwa pamoja tunaandaa maombi ya pamoja ili Mungu atuepushe na majanga hayo, hivyo basi kwa janga hili LA viapo hewa vya viongozi wetu na kufuru wafanyayo kwa kuapa mbele za Mungu kisha hawatekelezi viapo tuandae maombi kumuomba Mungu awashughulikie wote bila kujali cheo chake ALIYE APA NA KWENDA KINYUME NA KIAPO.
Nadhani Mungu akijibu sala zetu kwa kuwapiga ukoma au ajali mfululizo wale wanaomdhihaki tabia hiyo itapotea na Taifa litajiepusha na laana.
Tuwaombe wanasiasa wasitumie vitabu vitakatifu katika kula kiapo.ili Taifa lisiingie katika hasira ya Mungu.
 
Mkuu Chakaza,hakika umeandika mambo ya msingi.
Hii nchi itaendelea tu siku pale tutaacha kama taifa kumdhihaki Mungu kwa maneno yetu,matendo yetu na mawazo yetu.
Huwezi ukawa unaapa na kuomba Mungu akusaidie huku yeye humpi nafasi ya kwanza katika taifa na ukategemea akusaidie.
Huwezi ukamuomba Mungu akuongoze wakati mna limoto mnalikimbiza nchi nzima na kulipa heshima na kulifanya limungu lenu.
Siku itakapofika watanzania wenye hofu ya Mungu tukaamka na kusimama imara dhidi ya wanafiki wa nchi hii,hapo ndipo Mungu ataiponya nchi hii.
 
".....Naapa kuwa nitailinda na kuitumikia katba ya Tanzania eeMUNGU nisaidie". Hivyo ni viapo tunavyosikia wakiapa kwa Mungu wao kuanzia Rais hadi wabunge na kutetekeleza kiapo ni dharau kwa uliyemuapia na ni laana pia.
Sasa hili jambo limekuwa janga kubwa kwa nchi kama ulivyo ukame au mafuriko.

Na kama ilivyo desturi, majanga yatokeapo kwa pamoja tunaandaa maombi ya pamoja ili Mungu atuepushe na majanga hayo, hivyo basi kwa janga hili LA viapo hewa vya viongozi wetu na kufuru wafanyayo kwa kuapa mbele za Mungu kisha hawatekelezi viapo tuandae maombi kumuomba Mungu awashughulikie wote bila kujali cheo chake ALIYE APA NA KWENDA KINYUME NA KIAPO.

Nadhani Mungu akijibu sala zetu kwa kuwapiga ukoma au ajali mfululizo wale wanaomdhihaki tabia hiyo itapotea na Taifa litajiepusha na laana.
Wabunge wa upinzani wanaongoza kwa kukiuka viapo vyao ndio maana laana inawapata.
 
".....Naapa kuwa nitailinda na kuitumikia katba ya Tanzania eeMUNGU nisaidie". Hivyo ni viapo tunavyosikia wakiapa kwa Mungu wao kuanzia Rais hadi wabunge na kutetekeleza kiapo ni dharau kwa uliyemuapia na ni laana pia.
Sasa hili jambo limekuwa janga kubwa kwa nchi kama ulivyo ukame au mafuriko.

Na kama ilivyo desturi, majanga yatokeapo kwa pamoja tunaandaa maombi ya pamoja ili Mungu atuepushe na majanga hayo, hivyo basi kwa janga hili LA viapo hewa vya viongozi wetu na kufuru wafanyayo kwa kuapa mbele za Mungu kisha hawatekelezi viapo tuandae maombi kumuomba Mungu awashughulikie wote bila kujali cheo chake ALIYE APA NA KWENDA KINYUME NA KIAPO.

Nadhani Mungu akijibu sala zetu kwa kuwapiga ukoma au ajali mfululizo wale wanaomdhihaki tabia hiyo itapotea na Taifa litajiepusha na laana.
Viongozi wa Dini ya kikristo na waislamu wapeleke pendekezo Bungeni itungwe sheria kuwa nchi hii viongozi wasitumie BIBLIA auMSAHAFU katika kiapo bali watumie KATIBA
 
Back
Top Bottom