Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 709
Ndugu wana Jamvi!
Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima na Baraka zake Alah zi pamoja nasi.
Baada ya salamu nirudi kwenye topic.
Nimekuwa nikiona/kusikia juu ya neno Handsome liokitumika kama sifa kwa vijana wa kiume,sasa napata wakati mgumu kujua vigezo vinavyotumika katika kujua mtu/kijana fulani ni Handsome,je;
1.uzuri wa sura.
2.usafi wa mtu
3.vyote viwili yaani uzuri wa sura na usafi wa mtu?
4.umbile (physical appearance)?
Au kuna vigezo tofauti na hivyo ambavyo hutumika?
Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima na Baraka zake Alah zi pamoja nasi.
Baada ya salamu nirudi kwenye topic.
Nimekuwa nikiona/kusikia juu ya neno Handsome liokitumika kama sifa kwa vijana wa kiume,sasa napata wakati mgumu kujua vigezo vinavyotumika katika kujua mtu/kijana fulani ni Handsome,je;
1.uzuri wa sura.
2.usafi wa mtu
3.vyote viwili yaani uzuri wa sura na usafi wa mtu?
4.umbile (physical appearance)?
Au kuna vigezo tofauti na hivyo ambavyo hutumika?