Somo gumu sana hili mkuu, hongera kwa kulianzisha
Nina jamaa ninawafahamu kwa asilimia 92, walikuwa ni wafuasi wa mabadiliko ila nyumba zao, magari yao na maisha yao ni full ufisadi!
wengi wahubiri wa mabadiliko ni wapigaji tu
wengi walioko CCM, CDM ni wezi kabisa wala hawafai