Dhana ya Bikira

Dhana ya Bikira

Wenzetu Swaziland wanawapima wasichana wao kutambua kama ni bikra au la! Msichana akikutwa bikra anapewa cheti ambacho ndiyo kinamhalalisha kuolewa, msichana asiyekuwa na cheti haolewi ngó! Hivi mpango huu ukianzishwa bongo jamani hii michango ya harusi isiyoisha kila kukicha si itakuwa ndiyo baibai??!!!!
huu mpango bora uje bongo! wanaume siku hizi wamechoka kula makapi! kijana wa watu kajitunza lakini mwisho wake anakuja kula tambala! watu wengine walishapigia deki weeeeeee! kha inauma sana!
 
u r welcome,
nilichotaka watu tuwe open kidogo,
ungeweza sema experince yako ya first time,
na kama ukukimbuka uajisikia vizuri,thats all,
nijuavyo mimi,wasichana wengi huwa hawataki hata kukumbushwa
hiyo first time,wengi inakuwa ita was with the wrong person.au
mtu mzima ali take advantages of them,umenipata.??

mie nashukuru ndio huyu huyu shemeji yako,hivyo hakuwa wrong person ila nasikitika nimemsababishia kovu la kumngata na meno maana kila siku nilikua nakubali lkn tukifika faragha naogopa naondoka,hivyo siku hiyo akakagangamara akafanikiwa lkn ndio akaishiwa kupata kovu maana nilikuwa namngata ili aniachie!
 
Wapo wengi tu na mimi ni mmoja wapo, nimeitunza bikira yangu ikiwa ni zawadi kwa mke wangu mtarajiwa ambaye tutafunga nae ndoa mwezi wa 7,kutunza bikira kwa maisha haya sio mchezo kuna vishawishi vingi sana, mimi hapa nilipo na karibia kuchanganyikiwa kutokana na vishawishi navyo vipata toka kwa mabinti na mijimama!....

Nimefurahi sana kufahamu kumbe Mjengwa ni Mdada!


Nafikiri Ndg Mjengwa anastahili kuombwa radhi kwa kashfa hii!!!
 
uswahilini kuna vituko we acha..
hiyo gesti ilikuwa uswazi,na watu wa huko ndo ilikuwa staili yao.
nilikuja stuka katikati ya shughuli,kuacha siwezi,kuenndelea siwezi.
hahaa si mchezo.lkn tukirudi ktk topic,ww unasema umeanza ukiwa 15 yrs old,ulikuwa bado mdogo sana,lkn cha kuhuzunisha ni kwamba,ww pamoja na kuanza mautundu mapema unaweza kuamua kuwa hutaki kuoa asiye bikira,na hakuna atakayehoji kwa nini ww huna bikira,lkn binti akiaanza haya mautundu ktk umri ulioanzia ww si ndio hao mnaosema kawa tambara limeburuzwaaa nani aoe,unajua sitetei mabinti wasitunze bikira zao hapana,bali sielewi tu kwa nini nyie ni sawa mpotezee zenu lkn sisi tukipotenza inakuwa maneno mengi!
 
my ver first time haikuwa nzuri,
natamani kungekuwa na guide books..
gesti yenyewe haikuwa safi,i was fifteen,na she was sixteen,
kibaya zaidi kulikuwa na watu wanachungulia dirishani,
nilikuwa so kuchanganyikiwa,
but she still love me to death.....

hahahahahaaaaaaaa!!!!
hujatulia wewe!!!!
 
hahaa si mchezo.lkn tukirudi ktk topic,ww unasema umeanza ukiwa 15 yrs old,ulikuwa bado mdogo sana,lkn cha kuhuzunisha ni kwamba,ww pamoja na kuanza mautundu mapema unaweza kuamua kuwa hutaki kuoa asiye bikira,na hakuna atakayehoji kwa nini ww huna bikira,lkn binti akiaanza haya mautundu ktk umri ulioanzia ww si ndio hao mnaosema kawa tambara limeburuzwaaa nani aoe,unajua sitetei mabinti wasitunze bikira zao hapana,bali sielewi tu kwa nini nyie ni sawa mpotezee zenu lkn sisi tukipotenza inakuwa maneno mengi!

inabidi nikurekebishe kwanza..
wanaume hawana bikira....
bikira is for girls.....

kwangu mimi sijali past ya mwanmke sana,
kama yupo healthy na naona ananifaa,ndo huyo huyo.
 
my ver first time haikuwa nzuri,
natamani kungekuwa na guide books..
gesti yenyewe haikuwa safi,i was fifteen,na she was sixteen,
kibaya zaidi kulikuwa na watu wanachungulia dirishani,
nilikuwa so kuchanganyikiwa,
but she still love me to death.....

Ha ha ha!
 
Kwa wasichana wengi wa kibongo wamebakiwa na bikira za nyuma tu, nazo ziko mashakani kutokana na hii kasi ya laif
 
inabidi nikurekebishe kwanza..
wanaume hawana bikira....
bikira is for girls.....


kwangu mimi sijali past ya mwanmke sana,
kama yupo healthy na naona ananifaa,ndo huyo huyo.

Pengine kuweka sawa itabidi tuanze na kujadili BIKRA ni nini?
Ninavyoelewa mimi Bikra ni kama kiwambo ama kizinda kilichopo katika uke wa mwanamke, kipo mfano wa utando hivi ambacho mwanamke anapoanza kuingiliwa kimwili hupasuka na kusababisha kutokwa kwa damu na hivyo tendo hilo huitwa Kubikriwa.

Kwa mantiki hiyo ni kweli kabisa mwanaume hana Bikra kimaumbile. Lakini, kinadharia katika mjadala huu Bikra inachukuliwa kama ni hali ya kuishi bila ya kumjua mme (kwa Mwanamke) au kutomjua mke (kwa Mwanaume). Hii ndiyo dhana inasababisha Cheusimangara kuhoji Bikra ya mwanaume.

Muhimu: Lakini mara nyingine Bikra yaweza kutoweka kutokana na mambo tofauti na Sex, kama vile;
1. Kubeba vitu vizito,
2. Kuendesha baiskeli,
3. Kukimbia,
4. Kuruka n.k

Ni vigumu kwa mwanamke ambaye Bikra yake itaondoka kwa mazingira hayo akamshawishi mtu kuwa yeye bado Bikra ingwa ni kweli atakuwa bado bikra kwa vile itakuwa imetoka kwa njia hizo hapo juu.

Na kwa kuwa mila na desturi ziliipa thamani Bikra ndiyo maana wazee wetu walibuni njia za kuirejeza Bikra kwa kutumia Ndimu, limau na siku hizi nasikia hata Coca Cola inaweza kurejeza Bikra kwa mwanamke akaonekana kama aliye safi bado.

Nadhani tunajadili Bikra ya Mwanamke na dhana ya mwanaume kutojitunza kufanya Ngono mpaka siku ya kuolewa kwake.
 
Wapo wengi tu na mimi ni mmoja wapo, nimeitunza bikira yangu ikiwa ni zawadi kwa mke wangu mtarajiwa ambaye tutafunga nae ndoa mwezi wa 7,kutunza bikira kwa maisha haya sio mchezo kuna vishawishi vingi sana, mimi hapa nilipo na karibia kuchanganyikiwa kutokana na vishawishi navyo vipata toka kwa mabinti na mijimama!....

Nimefurahi sana kufahamu kumbe Mjengwa ni Mdada!

Aise, sasa ukikuta ya mke wako haipo utafanya nini kamanda, make ya kwako itakuwepo, umehakikisha na huyo mtarajiwa wako anayo?
 
wewe kwa nini usitusimulie kuhusu bikira yako,jinsi ilivyoondoshwa
na una regrets zozote??????????

kwa nini awe na regrets zozote zile, kwani ile kitu alipokuwa anakitoa si alitoa kwa hiari yake, au nakosea dada C/mangala, mbona sisi wanaume haturegret tunapotoa bikira zetu, kwani sisi tunaruhusiwa kutoa bikira zetu ovyo ovyo?
 
Pengine kuweka sawa itabidi tuanze na kujadili BIKRA ni nini?
Ninavyoelewa mimi Bikra ni kama kiwambo ama kizinda kilichopo katika uke wa mwanamke, kipo mfano wa utando hivi ambacho mwanamke anapoanza kuingiliwa kimwili hupasuka na kusababisha kutokwa kwa damu na hivyo tendo hilo huitwa Kubikriwa.

Kwa mantiki hiyo ni kweli kabisa mwanaume hana Bikra kimaumbile. Lakini, kinadharia katika mjadala huu Bikra inachukuliwa kama ni hali ya kuishi bila ya kumjua mme (kwa Mwanamke) au kutomjua mke (kwa Mwanaume). Hii ndiyo dhana inasababisha Cheusimangara kuhoji Bikra ya mwanaume.

Muhimu: Lakini mara nyingine Bikra yaweza kutoweka kutokana na mambo tofauti na Sex, kama vile;
1. Kubeba vitu vizito,
2. Kuendesha baiskeli,
3. Kukimbia,
4. Kuruka n.k

Ni vigumu kwa mwanamke ambaye Bikra yake itaondoka kwa mazingira hayo akamshawishi mtu kuwa yeye bado Bikra ingwa ni kweli atakuwa bado bikra kwa vile itakuwa imetoka kwa njia hizo hapo juu.

Na kwa kuwa mila na desturi ziliipa thamani Bikra ndiyo maana wazee wetu walibuni njia za kuirejeza Bikra kwa kutumia Ndimu, limau na siku hizi nasikia hata Coca Cola inaweza kurejeza Bikra kwa mwanamke akaonekana kama aliye safi bado.

Nadhani tunajadili Bikra ya Mwanamke na dhana ya mwanaume kutojitunza kufanya Ngono mpaka siku ya kuolewa kwake.

nimefurahishwa sana na ameneno yako...!!!
 
Hao bikra akishaolewa wanaanza kitaguta waliowatongoza kabla wote
 
Kama kuna mtu ana miaka ishirini n.bikira hapa bongo jamani mleteni tumpeleke makumbusho ya taifa.
 
hahaa si mchezo.lkn tukirudi ktk topic,ww unasema umeanza ukiwa 15 yrs old,ulikuwa bado mdogo sana,lkn cha kuhuzunisha ni kwamba,ww pamoja na kuanza mautundu mapema unaweza kuamua kuwa hutaki kuoa asiye bikira,na hakuna atakayehoji kwa nini ww huna bikira,lkn binti akiaanza haya mautundu ktk umri ulioanzia ww si ndio hao mnaosema kawa tambara limeburuzwaaa nani aoe,unajua sitetei mabinti wasitunze bikira zao hapana,bali sielewi tu kwa nini nyie ni sawa mpotezee zenu lkn sisi tukipotenza inakuwa maneno mengi!

Dah ya mwanaume utaipimaje, teh teh teh
 
hahahaha leo hadi The Boss ameacha neno la "Interesting" ameamua kuuliza swali..
Ngoja niisome mada nilihisi uvivu labda inavutia..




wewe kwa nini usitusimulie kuhusu bikira yako,jinsi ilivyoondoshwa
na una regrets zozote??????????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom