Dhana nzima ya Futari na Daku

Wao ni waroho tu na wabinafis sana wao wanakula Milo yote mi3 tena heavy mda wa usiku alaf mchana wanatuchora et tusiuziwe chakula
 
Wewe Cheka ila jibu swali langu , hiyo Hadith haijajibu hili swali

Ukisema Bora miezi 1000 maana yake umesamehewa dhambi za miezi 1000?
Jibu Ndio au Hapana
Kama unayakataa maandiko ya
Allah na mtume wake unataka nini cha zaid

Kama hoja umetengeneza mwenyewe

Mimi nimekwambia ni bora kuliko miaka 1000

Na dhambi pia wanasamehewa

Na hadith iko wazi

Kama una cha kukitetea lete huna ugulia maumivu tu

Subiri wakat mwengine ujipange humu nime kuumbua kila kona

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tuambie yesu alifundisha vipi namna ya kufunga

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Me ata mambo ya yesu siyafaham ila naongea uhalsia maan mmefunga nn sas kama siku Ina masaa24 sisi tunakula ndani ya masa12 ya mchana nyie mnakula usiku sas ndo Nini? Alaf kibaya zaid mnakula vizuri sana tena kwa fujo.....bas kama ni funga kweli mngekua mnakula mala 1 tu tena napo iwe chakula kibaya kama uji pekee ..we ule ubwabwa , tambi ,maziwa , tende, n.k usiku kucha alaf useme umefunga kula non sense ndo maan me sifagilii mambo ya dini za kuokota magharibi na mashariki
 
Wanasamehewa dhambi za mda gani ?

Na hili bado hujajibu

Ukisema Bora miezi 1000 maana yake umesamehewa dhambi za miezi 1000?
Jibu Ndio au Hapana
Huoni hadith

Hilo swali unaniuliza kwani mimi hivyo ndivyo nilivyo sema

[emoji28][emoji28][emoji28]

Hoja yangu imesema laylat ni bora kuliko miezi 1000 nikaishia hapo

Hakikisha unauliza kile kilichosemwa kijana mi najua ninavyo kuzidi ndivyo roho inakuuma ila vumilia tu huniwezi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tafuta dini urudi usiimbe taarabu hapa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Shida kubwa unasahau mjadala au unafanya makusudi

Nilianza hapa

Kati ya ile funga aliyoiga kwa wayahudi na funga ya ramadhani ipi ukifunga unasemehewa dhambi za mda mrefu? Weka na rejea

Wewe ukakwepa ukajibi ramadhani siku moja ni Bora kuliko miezi 1000

Nikakuuliza
Bora ndio kusamehewa dhambi ukakwepa kujibu unarukaruka

Swali la mwisho nikakuachia

Ukisema Bora miezi 1000 maana yake umesamehewa dhambi za miezi 1000?
Jibu Ndio au Hapana
 
Sasa nilivyo sema hivyo ndio nikakwambia kua wanasamehewa miezi hiyo nimekutolea ilo andiko kwa maana kukuonesha ukubwa wa Ramadan na masiku yake

Ndio maana nikakuuliza je usiku wa Ashuarai ni bora kufikia wa ramadhani je uliweza kujibu?

Tatizo unahangaika mpaka uelewi uongeenini.





Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ungekuwa unajibu nilicho uliza mjadala ungekuwa mfupi Sana

Bora ndio kusamehewa dhambi ?

Jibu Ndio au Hapana
Sasa nijibu nini hapo kwani mimi nimesema bora ndio kusamehe dhambi?


Alafu ulivyo chizi unanipangia namna ya kujibu swali ujitungie mwenyewe jijibu mwenyewe sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sasa nilivyo sema hivyo ndio nikakwambia kua wanasamehewa miezi hiyo nimekutolea ilo andiko kwa maana kukuonesha ukubwa wa Ramadan na masiku yake
Apo sawa sasa jibu swali langu kama nilivyoliuliza

Kati ya ile funga aliyoiga kwa wayahudi na funga ya ramadhani ipi ukifunga unasemehewa dhambi za mda mrefu? Weka na rejea

Sitaki maelezo nje ya swali langu mambo ya Bora siyataki
 
Apo sawa sasa jibu swali langu kama nilivyoliuliza

Kati ya ile funga aliyoiga kwa wayahudi na funga ya ramadhani ipi ukifunga unasemehewa dhambi za mda mrefu? Weka na rejea

Sitaki maelezo nje ya swali langu mambo ya Bora siyataki
Kunipangia namna ya kujibu ndio unapofeli yani unataka kupigana na mtu alafu unataka ma referee wamfunge kamba anae pigana na wewe

Yani unalazimisha kuonekana uko juu ndio maana mada nyingi unashindwa nimekupa hapo ukubwa wa ramadhani upinge kwanza huo ukubwa wa ramadhani

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nimemaliza , huwa nataka mtu ajibu nilivyouliza , sitaki Kona Kona

Swali la ndio au hapana wewe unaleta maelezo , nani kataka maelezo
 
Nakubali ndugu umepita mulemule.
 
Nimemaliza , huwa nataka mtu ajibu nilivyouliza , sitaki Kona Kona

Swali la ndio au hapana wewe unaleta maelezo , nani kataka maelezo
Hahahaha konakona ndizo zinazo kuumbua sio ishakula kwako

Nimemaliza kukusurubisha kisawaswa wasomaji ndio majaji

Watatoa tu mrejesho one day

Na wengine washaanza toa mrejesho

Na wote humu mtanyooka tu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha konakona ndizo zinazo kuumbua sio ishakula kwako

Nimemaliza kukusurubisha kisawaswa wasomaji ndio majaji

Watatoa tu mrejesho one day

Na wengine washaanza toa mrejesho
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimemaliza , jifunze kusoma swali na kujibu lilivyoulizwa

Nakuuliza wapi unasamehewa dhambi za mda mrefu, wewe unajibu Bora mara elfu

Nakuuliza Bora mara elfu ndio kusamehewa dhambi unarukaruka kama monkey

Ka dabate na watoto
 
Nimemaliza , jifunze kusoma swali na kujibu lilivyoulizwa

Nakuuliza wapi unasamehewa dhambi za mda mrefu, wewe unajibu Bora mara elfu

Nakuuliza Bora mara elfu ndio kusamehewa dhambi unarukaruka kama monkey

Ka dabate na watoto
Hahahahhaah nakupa na zawadi hii ulale uku ukiugulia

Narrated Abu Huraira:

The Prophet (ﷺ) said, "Whoever fasted the month of Ramadan out of sincere Faith (i.e. belief) and hoping for a reward from Allah, then all his past sins will be forgiven, and whoever stood for the prayers in the night of Qadr out of sincere Faith and hoping for a reward from Allah, then all his previous sins will be forgiven

Sahihi

Hapo Allah anasamehe dhambi zote zilizo fanywa na zitakazo fanywa unataka kusema nini Dogo

Alafu utakuja tana kutaka muda mrefu mwengine

Mtanyooka tu

Unataka kucheza na Ramadan yani mwezi mkubwa kuliko miezi yote unataka kufananisha loh kweli wakristo mmejawa na uchizi

Ona watu wanavyo samehewa hao ndani ya ramadhani


Na najua hilo pigo hata kujibu hutoweza maana limekukaba kotekote[emoji12][emoji12][emoji12]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…