Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,409
JF sihami hata nipigwe risasiMimi najibia mtihani hio comment.
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
JF sihami hata nipigwe risasiMimi najibia mtihani hio comment.
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Kesho ntaumalizia, nimefikia katikati usingiz ukanishika yani ww ndo umeniamsha
Kwa nini mkuu
We Chizi kweliMa Polisi wanaokataza sana Watu kutanua barabarani wao ndio Mabingwa wa kutanua!
Hii jamii forum ina vioja na virojaKesho ntaumalizia, nimefikia katikati usingiz ukanishika yani ww ndo umeniamsha
Are trying to justify the behaviour of viewing nudes ?Picha za ngono/pilau kuna wizi, uasherati, uongo nk.
Dhambi ziko nyingi kweli hata kutamani Bibi/Babu asiye wako, ntasoma vizuri kesho labda sijaelewa leo.
Ungeniandikia tu kiswahili toka mwanzo, hatufanani mitazamo nachanganua tu dhambi zingine.Are trying to justify utazamaji wa picha utupu ?
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Hivyo mleta mada ndo bingwa wa kutizama mapicha picha...Ma Polisi wanaokataza sana Watu kutanua barabarani wao ndio Mabingwa wa kutanua!
I second you, jamii ishaona walevi kama wadhambi sana kuliko waongo. Dhambi ni dhambi tuPicha za ngono/pilau kuna wizi, uasherati, uongo nk.
Dhambi ziko nyingi kweli hata kutamani Bibi/Babu asiye wako, ntasoma vizuri kesho labda sijaelewa leo.
Tayar mkuuUngeniandikia tu kiswahili toka mwanzo, hatufanani mitazamo nachanganua tu dhambi zingine.