Dhahabu dhahabu njoo uwekeze.

Joined
Dec 28, 2015
Posts
70
Reaction score
151
Kuna eneo liko Geita lina dhahabu... Pia wapo wachimbaji wadogo wadogo pembezoni mwake...lina dhahabu za kutosha ndo maana mwenye eneo akaamua kutafuta mwekezaji ili likachimbwe kitaalamu..eneo lina kibali zote za uchimbaji zinazohitaji...pia geologists walikuja kupima wakaona wingi wa dhahabu uliopo.kwa hyo wewe kama unamtaji wako..unaijua hii biashara ya dhahabu njoo tupeane utaratibu.
 
Utawapata.
 
Kuna any plant IPO karibu na hapo na je naweza pata hyo geologist report
 
Report Mkuu ya geologist ipo...nimeweka namba hapo tuwasiliane...hata wewe unaruhusiwa kuja na geogist wako uje kupima na kujiridhisha.
 
Plants zipo nyingi tu za Watu binafsi na makampuni wanaendelea kuchimba...huyu yeye mwenye eneo amekataa tu kuliuza...maana wengi wenye maeneo huko wameuza kwa wawekezaji...yeye hataki anataka MWEKEZAJI tu...ili eneo libaki la kwake.
 
Pm namba yako Mimi nipo geita tuone tunafanyaje
 
Hakuna biashara ngumu kama ya dhahabu wale wachimbaji wanakuwa wanawadanganya tuu ,kuwa mwamba wamashaukribia,wanaleta mchnga wa uongo wa kupiga chabo ,jnaendelea kuwahudumia na kununua vifaa ukikaribia kukata tamaa wanaanza kukushauri kuwa unachezewa hivyo tafuta waganga unaanza kupoteza fedha nyingine kwa waganga kuja kushtuka huna hata senti. Kama unataka mali utawapata shambani
 
Haya ndio yalimkuta ferooz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…