Devotha Minja wa ITV Morogoro

Anaitwa Hot Lady, kama kweli anafanania jina lake namuomba awasiliane nami privately, nitampatia nafasi!

Mkuu hawa wanaojiita majina mazuri humu kwenye mitandao in real life ni vituko sana.. teh teh teh they are just trying to get attention...
 
nawapongeza saaaana chadema kumteua uyu dada ubunge viti maalum anastaili kwakweli maana alikua jasiri kureport habari ambazo zingemtia matatani
tutammiss sana wapenzi wa itv
Devota minja ok uliposema morogoro nimekumbuka mbali sana nikizani replacement ya aliyepata ajali enzi zile kumbe ni ku-malizia ile agenda ya home kwanza
 
Ukabila unaitafuna chadema.

Yaani hawa jamaa aisee, sioni hawalionagi hili, sijui wanatufanya sisi mataahira hata siwaelewagi yaani. Nilishangaa hata MC tu wa mikutano yao ya kampeni alikuwa wa huko huko, khaaaa!!
 
CHADEMA wamesahau kumpa ubunge wa viti maalum mwandishi mwingine wa ITV Morogoro anaitwa Ida Mushi naye ni mchaga mwenzao.

Arusha pale chadema tunashinda ubunge saa tatu asubuhi na majimbo mengine pia hakika Ida Mushi kiti maalumu ajihesabie anao.
 
hivi jamani naomba niulize kidogo kwani kule Tandahimba alikoshinda mgombea wa CHADEMA kuna wachaga wengi kuliko makabila mengine?maana mara chama cha wachaga mara ukanda,mi nafikiri chuki mnazopandikiza hazina mantiki
 
Mkuu kwani we umevaa miwani ya mbao? Devotha MINJA,

Naona hujielewi kama jina lako lilivyo! Huyo Devotha Minja aligombea uwakilishi wa Viti maalum mkoa wa Morogoro kupitia Chadema na kwa juhudi zake binafsi akashinda kura nyingi za kishindo, Ulitaka aachwe akatafutwe Mwingine mkoa mwingine akawakilishe MOROGORO? Kenge kweli wewe! Uwe unafikiri kabla h jacomment.
 
nadhani kuna umuhimu wa kubadilika. kuwa mchaga hakumnyimi haki ya kuwa kiongozi katika nchi hii.tusiwe na wivu kwa sababu baadhi yao wamefanikiwa sana. najua ni propaganda za kuiangusha chadema ila ninachosema tutafute propaganda nyingine, wachaga wana haki ya kula hii keki ya taifa. acheni ubaguzi
 
Viti maalum ahavina sababu ni sheria ya kupendelea jinsia sijui kwa nini watu wanalalamika. Ingekuwa kpewa mwanaume hapo ningeelewa. Hapa tukianza kuongelea vyeo nani kapendelewa sijui tutasema nini sifa ya kuwa mkuu wa wilaya????!!!
 
Sura na dhana ya u kabila imekipunguzia kura nyingi sana Chadema. Hilo mtu akubali akatae lakini lina u kweli ndani yake.
 
Nyie ndo mnaunadi ukabila lakini chadema imejaa viongozi tofauti na makabila tofauti.hongera sana Devoo mi napendaga sauti yako.wewe na mgazija mna sauti na weledi sana.
 
nawapongeza saaaana chadema kumteua uyu dada ubunge viti maalum anastaili kwakweli maana alikua jasiri kureport habari ambazo zingemtia matatani
tutammiss sana wapenzi wa itv

Mkuu sio kureport tu,amefanya kazi kubwa kufanikisha majimbo matatu ya kilombero,mlimba na mikumi.,ameshiriki kwenye harakati nyingi sana.
 
Jimbo la Segerea UKAWA kata 13 CCM 0

Kwa "Case" ya Dar ni "Exceptional" maana Lowassa kafanya kampeni dar zaidi ya mara 4!Karibia kila weekend Lowassa alikuwa anarudi Dar kufanya Kampeni.
 
Hatumchagui mtu kwasababu ya kabila lake. Tunamchagua kwasababu ana sifa
 
Itv na uchaga pamoja na chadema huwezi kuvitenganisha.
 
Lissu alikuwa anapambana na njau wa ccm. Hapo je ukanda ukoje
 
CCM mna tabu sana!! Kila ikitokea uteuzi utasikia ni mchaga, km sio mchaga utasikia ni mtu wa kaskazini, km sio wa kaskazini, utasikia udini (ukiristo), km sio mkiristo bac mwisho kabisa utasikia ni NYUMBU, hapo ndo mwisho ila sometimes wananogesha na wanywa viroba. Huu ndo ubunifu wa ccm! Licha ya haya yote chama kinakuwa lkn hawabadilishi hizi propaganda mfu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…