Devotha Minja apewe uenyekiti PAC ni Jembe!

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,199
Nashauri watani zangu wa Chadema maslahi kuwa wampendekeze Yule mbunge wao waliompa nishani ya umahiri wa kutetea wanyonge bi Devotha Minja aweze kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa kamati ya PAC au LAAC.

Huyu dada anajua sana kuibua madudu hasa ukizingatia uzoefu wake katika tasnia ya habari katika kuibua maovu kwenye jamii.

CC: Salary Slip na Daudi Mchambuzi


Makamanda wote nyoosha mikono sema mabadilokoooo ...!
 
Ushauri mzuri sana. Tutaufanyia kazi mkuu
 
Huyu hafai hata chembe kuwa kiongozi nawashangaa sana wanaompigia debe
 
Huyu ni mbunge wa vitu maalumu sawa lakini kichwani si kwa kiasi hicho. Take my word
 
Kwani anahitaji nini kichwani ambacho ni cha ziada?
Kwanza huyu si mwaminifu kwa mmewe ni fuska anayefumaniwa na mmewe kila mara na hata wakati wa kuapishwa alifumaniwa dodoma na pia amezaa na mwanaume mwingine akiwa kwenye ndoa
 
Kwanza huyu si mwaminifu kwa mmewe ni fuska anayefumaniwa na mmewe kila mara na hata wakati wa kuapishwa alifumaniwa dodoma na pia amezaa na mwanaume mwingine akiwa kwenye ndoa
Kwanza huyu si mwaminifu kwa mmewe ni fuska anayefumaniwa na mmewe kila mara na hata wakati wa kuapishwa alifumaniwa dodoma na pia amezaa na mwanaume mwingine akiwa kwenye ndoa
Aisee!
Lakini hayo ni masuala binafsi...
 
Kwanza huyu si mwaminifu kwa mmewe ni fuska anayefumaniwa na mmewe kila mara na hata wakati wa kuapishwa alifumaniwa dodoma na pia amezaa na mwanaume mwingine akiwa kwenye ndoa
Acha kudhalilisha watu
 
Elimu ya pale na pale yule. Pengine apewe kwa sababu ni shemeji yake Sumaye. Shida mnataka muonekane. Sawa na Kubenea alikuwa anataka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…