Nyie ndo mnaibiwaga nyie eti kama...kama kuna ka ukweli ivi.
Nishakufa tayaliUkifa utuambieee
Huyo atakuwa ni chipukizi wa ccm.Kwa mfano tunakutana na mtu amevaa shati la kijani na suruali nyeusi, tunafanyaje ikiwa ni mixer
Akilibza namna hii zinarudisha sana maendeleo ya dunia nyuma.Huu ni up..zi kabisa kuweka hapa kuajdiliwa na wasomi.Hii inadhihirisha kwamba kuna watu bado kifikra wanaishi karne ya 18.Chonde chonde ndugu zangu kuweni makini na hili
Siku moja kabla ya kupinduka kwa mwaka kama utakutana na mtu usiye mjua amevaa nguo za kijani au nyeupe pee msikilize ushauri atakaokupa usipuuze
Ukikitana na mtu usiyemjua kavalia mavazi mekundu au meusi usithubutu kuongea na huyo mtu kwa maana hauta maliza salama mwaka 2017 utaandamwa na mabalaa na utafariki kwa ajali mbaya sana
NB:tuna mtaka ben saa nane akiwa hai
Rest In Peace mkuu.wakuu nimewamegea siri tu
Hivyo na mimi naweza fariki muda wowote kuanzia sasa
Lets say umekutana na kada wa Lumumba kavaa suruali nyeusi na shati la chama cha faru,Kwa mfano tunakutana na mtu amevaa shati la kijani na suruali nyeusi, tunafanyaje ikiwa ni mixer
Hasa za hizi sikukuu zilizofululizahizi laga za ofa zina shida sana!
wakuu nimewamegea siri tu
Hivyo na mimi naweza fariki muda wowote kuanzia sasa