Nawasiwasi na elm alyonayo kbamba,... Kbamba mwanasheria na anajua kabsa kusema rais apngwe c kosa, jaman rais n bnadam km sisi akkosea lazma apngwe kwa alchokosea hatuwez kumkenulia meno km mazuzu, nch hii co ya enz zle za ndio mzeee........nooo,nnachokiona hapa kbamba anachoktafuta n cheo kutoka kwa huyo malaika anaesema aspngwe. Watanzania tunaona malaika Hugo anavokosea sana tu,sasa tuspnge ayo makosa yake jaman???? Mmmmmmmm!!!kbamba bro naona saiv unavzia uteuz, kla herii