Lexus IS ndiyo mrithi,, sio LS ni IS(is)nashukuru sana kwa elimu mkuu, hii kitu nilikua najiuliza sana🙏
Kama unapenda lexus is yenye kufanana hadi tail lights kama za toyota altezza yenyewe tafuta lexus is (xe10), unaposema xe10 ni kizazi cha kwanza, kuna xe20 second gen, xe30 third gen na xe40 ambayo ni kizazi cha nne...Naaaam..
Ule muundo wa mwanzo, hata mm binafsi nauelewa sana kwenye kila kituKama unapenda lexus is yenye kufanana hadi tail lights kama za toyota altezza yenyewe tafuta lexus is (xe10), unaposema xe10 ni kizazi cha kwanza, kuna xe20 second gen, xe30 third gen na xe40 ambayo ni kizazi cha nne...
Lexus is(ex10)
Binafsi hakuna gari inayonivutia tail lights zake kama Nissan GTR, naona lexus ls wangeendelea na hizo tail lights za mduara za altezza kizazi cha kwanza ionekane ipo ki sport zaidi.. hizi tail lights za sasa hazijanivutia sana...
Tail ights za lexus is kuanzia kizazi cha pili hazivutii...
GTR
Lexus IS ndiyo mrithi,, sio LS ni IS(is)
Hapana. Lexus IS sio mrithi wa Altezza.Muendelezo wa altezza ni lexus IS 250, IS 300, na IS 350..
kwhy mkuu ziliundwa tofauti kufuatana na masoko, au sababu ni ipi haswa inayofanya hyo Altezza kwaajili ya Japanese market na lexus kwa Europe na USA..lakini pia naskia Lexus ni kampuni inayoshikamana na Toyota kwaajili ya kutengeneza luxurious car iwe sedan au Suv...msaada pia hapa kwenye Lexus na Toyota mkuuHapana. Lexus IS sio mrithi wa Altezza.
Altezza ni sawa na Lexus IS. Altezza ni kwa ajili ya Japanese market na Lexus IS ni kwa ajili ya Europe na America. Hio Altezza maarufu Bongo USA na Europe ni Lexus IS200.250.300 etc. Hata Toyota Harrier Europe na US ni Lexus RS, Au LExus LS Japan ni Toyota Celsior
Ngoja nitafte ela nikanunua lexus 2FA legendary gari pendwa lakini adimuWakuu hongereni na majukumu, ya kujijenga binafsi lakini na Taifa kwa ujumla..
Kwa mara nyingine tena kwenye jukwaa letu pendwa naomba tuangalie muundo wa Toyota Altezza..
Mimi binafsi, napenda sana muonekana wa Altezza kuanzia nje na ndani pia, umbo lake, ground clearance lakini pia ufanisi wa engine yake kwa maana ya spidi na uimara.
Hakika, Toyota waliipatia sana hii chuma🙌
kuna kitu najiuliza, ni kwann Toyota walisitisha kuzalisha altezza kama mwanzo ilihali inaonekana zilipata sana soko?
-kwann hawakuja na altezza sport new model kama tunavyoona kwa harrier, crown n.k ili kuendana na usasa na teknolojia?
-kwann watu wazima hawapendi kutumia altezza licha ya kuwa ni gari nzuri?🤣..hii hasa bongo kwa mujibu wa tafiti zangu zisizo rasmi.
-kwann jamii ina mindset fulani kuhusu watu wanaotumia altezza hasa zenye muungurumo/exhaust kubwa?
ningependa kufahamu kutoka kwenu wazee wangu, na mabraza mliotutangulia kwenye magari, karibuni sana...
Yes. Lexus based on luxury vehicles. Ni kampuni ya Toyota. Ili waweze kushindana Ulaya na Marekani iliwabidi waweke luxury brand mahsusi kwa soko hilo.kwhy mkuu ziliundwa tofauti kufuatana na masoko, au sababu ni ipi haswa inayofanya hyo Altezza kwaajili ya Japanese market na lexus kwa Europe na USA..lakini pia naskia Lexus ni kampuni inayoshikamana na Toyota kwaajili ya kutengeneza luxurious car iwe sedan au Suv...msaada pia hapa kwenye Lexus na Toyota mkuu
3.5l displacement ya engine 😀😀View attachment 3249249
2018 Lexus Is350 F-Sport 3.5L V6
Ww unaona bonge la design? Wengine wanaona hamna kitu. Ni old school sedanWakuu hongereni na majukumu, ya kujijenga binafsi lakini na Taifa kwa ujumla..
Kwa mara nyingine tena kwenye jukwaa letu pendwa naomba tuangalie muundo wa Toyota Altezza..
Mimi binafsi, napenda sana muonekana wa Altezza kuanzia nje na ndani pia, umbo lake, ground clearance lakini pia ufanisi wa engine yake kwa maana ya spidi na uimara.
Hakika, Toyota waliipatia sana hii chuma🙌
kuna kitu najiuliza, ni kwann Toyota walisitisha kuzalisha altezza kama mwanzo ilihali inaonekana zilipata sana soko?
-kwann hawakuja na altezza sport new model kama tunavyoona kwa harrier, crown n.k ili kuendana na usasa na teknolojia?
-kwann watu wazima hawapendi kutumia altezza licha ya kuwa ni gari nzuri?🤣..hii hasa bongo kwa mujibu wa tafiti zangu zisizo rasmi.
-kwann jamii ina mindset fulani kuhusu watu wanaotumia altezza hasa zenye muungurumo/exhaust kubwa?
ningependa kufahamu kutoka kwenu wazee wangu, na mabraza mliotutangulia kwenye magari, karibuni sana...
kwa kweli huwa napendelea zaidi gari ambao nitakuwa huru kupita kwenye matuta, sio naenda mwendo wa kasi afu nikikaribia tuta nakuwa mpole, no. sijawahi kupenda alteza.Wakuu hongereni na majukumu, ya kujijenga binafsi lakini na Taifa kwa ujumla..
Kwa mara nyingine tena kwenye jukwaa letu pendwa naomba tuangalie muundo wa Toyota Altezza..
Mimi binafsi, napenda sana muonekana wa Altezza kuanzia nje na ndani pia, umbo lake, ground clearance lakini pia ufanisi wa engine yake kwa maana ya spidi na uimara.
Hakika, Toyota waliipatia sana hii chuma🙌
kuna kitu najiuliza, ni kwann Toyota walisitisha kuzalisha altezza kama mwanzo ilihali inaonekana zilipata sana soko?
-kwann hawakuja na altezza sport new model kama tunavyoona kwa harrier, crown n.k ili kuendana na usasa na teknolojia?
-kwann watu wazima hawapendi kutumia altezza licha ya kuwa ni gari nzuri?🤣..hii hasa bongo kwa mujibu wa tafiti zangu zisizo rasmi.
-kwann jamii ina mindset fulani kuhusu watu wanaotumia altezza hasa zenye muungurumo/exhaust kubwa?
ningependa kufahamu kutoka kwenu wazee wangu, na mabraza mliotutangulia kwenye magari, karibuni sana...