Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,674
- 1,097,064
Sijui kutukana ila naomba wahusika wanipe japo ya wiki moja,nina shida nayo sana
Simpo tu nitukane tu utapata ukitakacho
Simpo tu nitukane tu utapata ukitakacho
Basi tufanye umesahau yaishe
Hakua siraz na thread yake itakua.Mwenye thread mwenyewe anapiga soga unategemea nn sasa
mm nipo kimya endelea tu kaka usije kuleHa ha ha nakujua na povu lako sio la nchi hii
ngoja nifanye kituSijui kutukana ila naomba wahusika wanipe japo ya wiki moja,nina shida nayo sana
Acha nilale Mie niwaachemm nipo kimya endelea tu kaka usije kule
ngoja nifanye kitu
Nikuripoti??
kwa nn sasa unataka hivyoYeah,unadhan natania!?serious
kwa nn sasa unataka hivyo
si unistall tu app ya jf basNimeboronga kazi ya watu leo kisa kushinda humu,wiki inayokuja ntakoma
umesema unataka tuchovye wanne kwa kupokezana inauma kusikia pia inatishaMmmmh!! Kwani mimi nimekutisha jamani!!!
si unistall tu app ya jf bas
umesema unataka tuchovye wanne kwa kupokezana inauma kusikia pia inatisha
log out basSijawah tumia app,Natumia browser ngumu kufuta hii
mambo ya malavidavi tu hayoHe he he kwel kila boss Ana boss wake
log out bas
Shunie mna biashara gani namume wangu?sasa nitakupataje na huku nipo gerezani
hahahah espy acha kunichekesha mm sina biashara nae yoyote alisema siku nikipewa ban nimwambie anajua cha kuwafanyaShunie mna biashara gani namume wangu?
wasi wasi wako nini?Shunie mna biashara gani namume wangu?