Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,134
- 159,018
Patience123 umemuona espy ananitisha natafuta back up ya nguvu
Mume wangu mambo huwa hayaendi hivyo mpenzi.
Patience123 umemuona espy ananitisha natafuta back up ya nguvu
Mi simo ujueHa ha ha msimu wa kuomba kitambulisho unapewa mjegejo
inabidi tuongee kwanza huku kutishana mpaka lini ??
He he he kwel kila boss Ana boss wakeMmmmh!! Kwani mimi nimekutisha jamani!!!
Ha ha ha ha utahusika tu si umesema mwenyeweMi simo ujue
Mkwe naomba ukalale.He he he kwel kila boss Ana boss wake
Sio ujibane unaogopa kuyakutansha kwenye folenAkuuuu, kwanini nijibane bane!! Sijazoea.
Kama kawaida yako
Basi tufanye umesahau yaisheHa ha ha ha utahusika tu si umesema mwenyewe
Weka muamala kesho atamsahau mpka mumewe top two yote ya kwako
endelea tu kutombokaHa ha ha ha acha nikae kimya huu mguno sio mzur
Natafuta ban ujue
Unavyo vingapi?Hivi ni lini utaheshimu viungo tena vya siri vya shemeji yako shemeji?
hahahah ila fakalava we mtu ni mbishi yaan natakiwa niendelee na list yanguAchana na Daby maana anachonga sana juu yetu.
Mwenye thread mwenyewe anapiga soga unategemea nn sasaYaani watu bwana..
Mtu umeambiwa u describe watu badala ya kufanya hivyo nyie mmeanzisha kupiga story humu haya bwana endeleeni...
Ha ha ha ha ha byeeeeMkwe naomba ukalale.
sasa nitakupataje na huku nipo gerezanisiku nyingine washtakie kwangu wanajua nachowafanyaga
Ha ha ha nakujua na povu lako sio la nchi hiiendelea tu kutomboka