Hii ni kweli hawa madereva wengi pasua kichwa. Mimi nimeexperience (madereva wa 4) Sasa hivi mtu kama sio mlokole simpi gari. Maana angalau walokole watasumbua hesabu ila gari yako watatunza.
Dereva mmoja alichomoa rim sport kauza akaweka marim yakawaida, radio kauza na AC compressor katoa kauza kaeka mbovu. Nikamueka ndani changombe ndugu wamekuja kulia ikabidi nimwachie kibinadamu.
1.Leseni c1, c2, c3 & CMimi gari nnalo nipo dom natafuta account nijiongezee kipato hasa weekends
Pole Mkuu, usikate tamaa watakuja tu.Hakuna hata aliyejitokeza hofu yangu ni madereva wa awali huenda waliwafanyia vitu vibaya hawa watu.