Jibu unalo wewe binafsi. Kwa jinsi ulivyo kilaza hata nkeo atakusaliti siku ya uchaguzi. Huyo dreva angetii alipoambiwa aache kelele mahakamani nani angemkamata. Ulivyo hamnazo unamhusisha MAGUFULI kwenye upuuzi huo. Kuna wafuasi wa chadema wangapi walio na kesi mbona huwa hawakamatwi. Huu mziki mtaucheza tu hata kimoyomoyo. Hicho kiingereza chako bora kiko wapi sasa. What a shithole #$$.
Kanyama wewe ni mtu wa ajabu kabisa...Im sorry for this,first off:
-Nkeo=Mkeo
Ni maajabu sana na inaboa sana iwapo Mswahili kama wewe unakosea kuandika Kiswahili sahihi kwa vitu vidogo namna hii.Kama Kiswahili unafeli namna hii,lugha gani dunia hii utakua fluent kama wewe sio disgrace to Tanzanian people?
Mke wangu na ukoo wangu wote hawawezi nisaliti,wao ndio wananishawishi mimi nisitoe kura CCM...Sasa sijui umegeuka prophet lini ujue kua watanisaliti?
Kilaza siwezi kua mimi maana sipo na sitakaa niwe CCM,vilaza ni proven wapo CCM!Kuna Masters dessertation ya mtu kabisa kapatia degree yake ya Masters baada ya kugundua correlation of poverty na poor mental fitness with supporting of CCM,akagundua there is a very strong correlation!Sasa kwa vile wewe sio kilaza andaa research umpinge yeye kama unaweza!
Sijamtaja jiwe kokote,na sina haja,na sitakaa nimtaje mahali au popote maana sina muda huo!
Yaelekea wewe unajua sana kuhusu kesi za watu,enlighten us about!
Hamnazo ni wewe unaedhani kuna mtu anamuongelea boss wenu,I wonder sijui unaogopa au kukasirika nini mtu/watu wakimuongelea?Sijui una babaika nini hasa?Kama hamtaki kuongelewa si mfunge ofisini muende kulima huko Chattle?Mbona waoga namna hii?You people are so worked out on some random internet fictional characters like me and you talking?Jeez!
Sasa sijui anaeucheza mziki ni nani hasa?Ni mimi au wewe unaekaa kwa woga mkubwa ukiogopa mtu kuandika a paragrah on internet about you?Kuna mateso dunia hii zaidi ya woga?Woga=Weak...you people are so weak!
Nina Kiingereza na Kiswahili sahihi kukuzidi wewe,thats clear,hupendi andamana!Kwanza Kiswahili cha NKEO ni cha kipumbavu sana,need me say more?
I ain't got no time for dimes and nickels coz they don't hold no weight!