Zakaria Lang'o
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,767
Wewe mwenyewe unaishi kwa matarajio ya pension ya baba yako, na yenyewe imeshafyekwa na wanaume wako, sijui mtetezi wako atakuwa nani!!!?Kama mna uwezo andamaneni.tushawachoka
Wewe mwenyewe unaishi kwa matarajio ya pension ya baba yako, na yenyewe imeshafyekwa na wanaume wako, sijui mtetezi wako atakuwa nani!!!?Kama mna uwezo andamaneni.tushawachoka
Yana mwishoMungu ibariki Chadema .
Bora hata huyu anajulikana alipo , mjomba wake lembeli aliyewahi kuwa dereva wa Zitto hajulikani alipo .
Kwa sababu huna undugu naye, hata polisi wakae naye Mwaka, inakuhusu Nini, maana wewe utaendelea kuchongwa Kama kawaida.Kuweni na subira
Tutaambiwa kilichojiri..
Tuache polisi wafanye kazi zao..
Waambie mijamaa ya mkurupuko..hawajitambiu kabisa..wangetafuta kwanza kosa alilofanya kabla ya kuanza kutoa lawama..maana unaonekana mjinga tu, na akili za kiuanaharakati zisizo na mbele wa nyumaMtaishia kulaani tu, na kutoa matamko kila siku. Makamanda tunafeli vibaya sana.
Kama mna uwezo andamaneni.tushawachoka
hiyo roho achana nayo haitakusaidia....wewe ulichokiona kwenye uzi ni jina tu....Mungu akusaidie kukuondolea hiyo roho ya ukabila na ubaguzi unayougulia...Hivi Chadema sie akina shomvi tumekosa nini?
Hadi dereva ni Urassa!hatari sana hii
Watanzania tuache roho chuki, ubaguzi,hazitatufikisha pazuri...tupendane bila kubaguana kwa misingi ya ukabila,udini au ukanda....ukiona wewe.... jiwe.. ameteua watu..wewe ukakimbilia kujua wa kabila lako,au kabila lile..au wa dini yangu ni wangapi...nasema wewe ni mkabilia na mdini...na una roho ya ubaguzi...omba sana Mungu akuepushe na hiyo roho.Hawa watu wakiwa sehemu lazima wata gang up na kutengeneza himaya
Mkuu, nikuambie tu ukweli nakukubali sana, ninajua ulivyo na mchango mkubwa kwa cdm na namna unavyotoa support humu jamvini kwa idea zako!Mungu ibariki Chadema .
Bora hata huyu anajulikana alipo , mjomba wake lembeli aliyewahi kuwa dereva wa Zitto hajulikani alipo .
Amina .Mkuu, nikuambie tu ukweli nakukubali sana, ninajua ulivyo na mchango mkubwa kwa cdm na namna unavyotoa support humu jamvini kwa idea zako!
Kwa kweli una mapenzi ya dhati kabisa na cdm na ingefaa ukapatiwa kitengo ndani ya chama maana wewe ni tunu kubwa sana! Baraka unazoiombea cdm mara kwa mara naamini pia zitarudi kwako mara1000, na kudumu kwenye kizazi chako milele na milele!
Ubarikiwe mnooo...
Eti eeh kama CCM akina Doto wanavyoshikilia hazina ya Taifa. Bora huyu anamuendesha mchanga mwenzake. Hata Mimi kwa usalama nchi ilipofikia dereva wangu lazima awe mtu ambaye ninamfahamu na ikibidi niwe na nasaba naeHivi Chadema sie akina shomvi tumekosa nini?
Hadi dereva ni Urassa!hatari sana hii
Mimi mwenyewe laana sishanichosha kwa nini CHADEMA isiandae tukio moja hatari tukaheshimiana?! Hizi laana ni kumpa jiwe kiburi tu!!Mtaishia kulaani tu, na kutoa matamko kila siku. Makamanda tunafeli vibaya sana.
Tupeni muelekeo, malalamiko makijani yashazoea.
Nakuna kada john ukiwa na bashite,umenawiri siku hizi kwa buku5 tu za lumumbaHamna ubavu huo.hamna wa kuwaunga mkono.zama hizo ilikuwa chadema ya kina dk slaa..Zama zimebadilika
Kama mna uwezo andamaneni.tushawachoka
You are into The tragedy simply because the unlawful and disobedience initiatives you are planning against the government can't be tolerated by any regime in the world. MAGUFULI hakuwepo mahakamani. Ukiambiwa utii bila shuruti unakunja ngumi.
Jibu unalo wewe binafsi. Kwa jinsi ulivyo kilaza hata nkeo atakusaliti siku ya uchaguzi. Huyo dreva angetii alipoambiwa aache kelele mahakamani nani angemkamata. Ulivyo hamnazo unamhusisha MAGUFULI kwenye upuuzi huo. Kuna wafuasi wa chadema wangapi walio na kesi mbona huwa hawakamatwi. Huu mziki mtaucheza tu hata kimoyomoyo. Hicho kiingereza chako bora kiko wapi sasa. What a shithole #$$.
we popo kalaleKama mna uwezo andamaneni.tushawachoka