ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,235
- 2,124
Hakuna uhusiano kati ya mambo ya biashara na mambo ya kipumbavu kama kumamatwa, kuugua nk...inatakiwa alete hesabu bila stori yeyote.....Hello guys,
Kwa wiki 4 sasa huyu dereva hajaniletea hesabu ingawa kipindi cha mwanzo alikuwa ananileteaga, kila wiki anakuja na sababu mara kauguliwa na mtoto, Mara mvua, Mara pikipiki imekamatwa..etc
Bahati nzuri sitegemei bodaboda inilishe, kwa wamiliki wa bodaboda humu JF mliokutana na changamoto hizi mliwezaje ku-solve hii issue?
Naombeni ushauri kabla sijahitimisha maamuzi yangu.
Majungu sitaki..
Then hizo hali utaishi nazo hadi lini?Thats all, huwezi tajirika kirahisi kama sio roho mbaya, bahili kupitiliza kiufupi inatakiwa kubwa Uso mbuzi, ukicheka na mwajiriwa wako anakuambukiza umaskini. Jifunzeni kwa wahindi na waarabs wanakuwa very mafia kwa wafanyakazi wao that's y wanaendelea.
Chukua pikipiki yako yasije kukupata yaliyonikuta mmHello guys,
Kwa wiki 4 sasa huyu dereva hajaniletea hesabu ingawa kipindi cha mwanzo alikuwa ananileteaga, kila wiki anakuja na sababu mara kauguliwa na mtoto, Mara mvua, Mara pikipiki imekamatwa..etc
Bahati nzuri sitegemei bodaboda inilishe, kwa wamiliki wa bodaboda humu JF mliokutana na changamoto hizi mliwezaje ku-solve hii issue?
Naombeni ushauri kabla sijahitimisha maamuzi yangu.
Majungu sitaki..
Kama ulipata mkuu nipm na mimiMwenye softcopy ya mkataba wa bodaboda naiomba aitume hapa
Sijapata mkuu ila kuna mmója niliupata huku ulikuwa nondo balaa sasa hivi nautafuta kila njia naukosaKama ulipata mkuu nipm na mimi
Siyo roho mbaya, ila ni kusimamia malengo na kuyatekeleza.Siri kubwa ya matajiri kutajirika ni kuwa na ROHO MBAYA.
Angechukua kwa masaa kabisaBadili mfumo chukua per day.
Period..Siri kubwa ya matajiri kutajirika ni kuwa na ROHO MBAYA.
Mifano ninayo mingi mno...Matajiri wote.tajiri kukupa hata 100.bila ya kuifanyia kazi anaona tabu.vipi usipopeleka hesabu yake?
Tajiri anaweza akawa na vitu vingi ambavyo
Havitumii.ila nenda kamuombe kama atakupa.yuko radhi vioze ila sio akupe.
Vipi siku upitishe hesabu yake?