Django
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 354
- 147
Dereva wa tax alimpakiza mzungu kwa bahati mbaya yule dereva ukamtoka ushuzi wa kimya kimya. Dereva akadhani mzungu hajashtukia. Jamaa akazuga kwa kuanzisha mazungumzo na kumuuliza mzungu Je hali ya hewa ya kwetu unaionaje? Mzungu akacheka kidogo kisha akamjibu Hali kama itaendelea hivi inaweza ikanyesha mvua ya mavi muda si mrefu