Dereva mmoja baada ya kuua watu 25 kwa ajali ya gari,alikamatwa na Traffic na mahojiano yakawa kama ifuatavyo: Traffic: Wewe ni dereva gan?umepitia kwel driving school, Dereva:Ndio mkuu!Nimepitia,labda nikuulize swali kidogo.Traffic:haya heb niulize huo ujinga wko!Dereva:Wewe ukiwa kama dereva,upo kwenye speed kali,ghafla ukamuona mtu mmoja upande wa kushoto na watu 24 upande wa kulia,je wewe ungefuata nan?Traffic:Swal gan sasa hilo?nitafuata yule mmoja.Dereva:Unaona eeh?hata nami nilifanya hivyo ila alidhan mi ni mjinga sijamuona, yeye akajifanya kukimbilia kwa wale 24 wa upande wa pili,na mimi nikamfuata huko huko!!hahahahaaaa