DEREVA MZURI

DEREVA MZURI

Ernest lukindo

Senior Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
162
Reaction score
116
Habari Wakuu! Natafuta kazi ili niweze kujikwamua Kimaisha, Mimi ni Dereva mzuri mwenye Uzoefu wa Kuendesha vyombo vya moto leseni yangu ina madaraja yafuatayo A, A2,B,D,C1,C2,C3 na E hivyo nahitaji Bajaji au Gari kwa ajiri ya Hesabu au Mkataba,Vilevile Naweza Kumuendesha Boss(Kwa wale wanaopenda kuendeshwa) na kama Boss atataka kiingie chombo chake(Gari) UBER au TAXFY(BOLT) Account ninazo na zipo Hewani;

Mawasiliano yangu ni kama ifuatavyo:
Phone-: 0654722512

E-mail:
hollyjoyous85@gmail.com

Napatikana MBEZI BEACH-DSM

Asanteni Sana
 
Amini katika Mungu utapata tu rafiki ila angalizo: Uber wanahitaji uwe na lesini Daraja C1, C2, C3 au C hivyo ni vema ukajitahidi uongeze madaraja kasomee PSV japo mimi ninayo ila mpaka leo nado nahangaika kutafuta gari ya Uber
 
Kwangu Nilipokelewa Vizuri tu na kusajiliwa vyema baada kupewa HATI YA TABIA NJEMA,WIZARA YA MAMBO YA NDANI.
Amini katika Mungu utapata tu rafiki ila angalizo: Uber wanahitaji uwe na lesini Daraja C1, C2, C3 au C hivyo ni vema ukajitahidi uongeze madaraja kasomee PSV japo mimi ninayo ila mpaka leo nado nahangaika kutafuta gari ya Uber
 
Kwako wewe kupata gari bado ni mtihani,, maana gari za kazi zina plate namba nyeupe. Na leseni yako hairuhusu kuendesha gari ya abiria.
 
Kwangu Nilipokelewa Vizuri tu na kusajiliwa vyema baada kupewa HATI YA TABIA NJEMA,WIZARA YA MAMBO YA NDANI.
Mkuu, Samahani kwa kwenda kidogo nje ya uzi wako, Naomba kufahamu ni process gani ulipitia mwanzo mpaka mwisho ulivyoenda kuchukua hati ya tabia njema wizarani??
 
Mkuu, Samahani kwa kwenda kidogo nje ya uzi wako, Naomba kufahamu ni process gani ulipitia mwanzo mpaka mwisho ulivyoenda kuchukua hati ya tabia njema wizarani??
Ni elf 2 unalipia benk, watakupa pale account namb! Utaandika barua ya Kuomba hiyo hati, Ila ukienda kule lazima uwe na passport mbili nyuma kitambaa cha blue na husiwe umevalia nguo nyeupe, Copy ya Cheti cha kuzaliwa.. jitahd uwah asubuhi kunakuwaga na foleni... Kingine baad ya kuchukua alam za vidole, na kuzaja zile form zao watakuambia urudi baad ya siku 14 za kazi toka siku hiyo...
 
Ni elf 2 unalipia benk, watakup:a pale account namb! Utaandika barua ya Kuomba hiyo hati, Ila ukienda kule lazima uwe na passport mbili nyuma kitambaa cha blue na husiwe umevalia nguo nyeupe, Copy ya Cheti cha kuzaliwa.. jitahd uwah asubuhi kunakuwaga na foleni... Kingine baad ya kuchukua alam za vidole, na kuzaja zile form zao watakuambia urudi baad ya siku 14 za kazi toka siku hiyo...
Daaah yaani hizo procces ndio zinapima tabia njema?
 
Habari
Naitwa fadhili natafuta kazi ya udereva mpiga kazi wala sio mzembe
Msomi yupo smart mda wote tuwasiliane
0654960981
 
Ulishapata chombo mkuu?
Unapatikana wapi?
Kuna jamaa yangu alikua anatafuta mtu amkabidhi bajaji,kama bado haujapata,nimuulize jamaa kama ameshapata mtu
 
Asante mkuu nilishapata nw niko barabarani
Ulishapata chombo mkuu?
Unapatikana wapi?
Kuna jamaa yangu alikua anatafuta mtu amkabidhi bajaji,kama bado haujapata,nimuulize jamaa kama ameshapata mtu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom