SOKO LA MAGARI
Senior Member
- Oct 26, 2014
- 115
- 66
DEREVA MZOEFU WA KUTUMIA NETWORK YA UBER ANAHITAJIKA HARAKA
Dereva aliyewahi kutumia UBER kwa muda usiopungua mwezi mmoja na mwenye ujuzi wa kuendesha kwa zaidi ya miaka mitatu na awe na leseni anahitajika haraka:
1. Awe na barua toka serikali za mtaa anakoishi
2. Wadhamini wawili wenye ajira hasa madereva wanao mjua vema
3. Awe anaishi mkoa wa Dar es Salaam
4. Umri kati ya 25 yrs hadi 50 yrs
5. Awe amesajiliwa na hana tatizo lolote UBER
Muda wa tangazo miezi minne tu tangu leo
Mawasiliano jibu hapa chini au PM
KARIBUNI SANA
Dereva aliyewahi kutumia UBER kwa muda usiopungua mwezi mmoja na mwenye ujuzi wa kuendesha kwa zaidi ya miaka mitatu na awe na leseni anahitajika haraka:
1. Awe na barua toka serikali za mtaa anakoishi
2. Wadhamini wawili wenye ajira hasa madereva wanao mjua vema
3. Awe anaishi mkoa wa Dar es Salaam
4. Umri kati ya 25 yrs hadi 50 yrs
5. Awe amesajiliwa na hana tatizo lolote UBER
Muda wa tangazo miezi minne tu tangu leo
Mawasiliano jibu hapa chini au PM
KARIBUNI SANA