Mwananchi Mwandamizi
Member
- Sep 27, 2015
- 57
- 52
Hello JF Members.
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Kwa mwenye mahitaji ya dereva muaminifu na mwenye uzoefu, basi amepata.
SIFA ZA DEREVA
-Ana uzoefu usiopungua miaka 10 katika uendeshaji wa magari makubwa na madogo, na hajawahi kupata/kusababisha ajali.
-Kiwango cha elimu ni darasa la saba.
-Ana leseni Class B, D &E
-Anapatikana Dar es Salaam, wakati wowote kuanzia sasa.
Kwa uhitaji, waweza kuwasiliana nae kwa namba +255 712 839 758
Akhsante
Sent using Jamii Forums mobile app
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Kwa mwenye mahitaji ya dereva muaminifu na mwenye uzoefu, basi amepata.
SIFA ZA DEREVA
-Ana uzoefu usiopungua miaka 10 katika uendeshaji wa magari makubwa na madogo, na hajawahi kupata/kusababisha ajali.
-Kiwango cha elimu ni darasa la saba.
-Ana leseni Class B, D &E
-Anapatikana Dar es Salaam, wakati wowote kuanzia sasa.
Kwa uhitaji, waweza kuwasiliana nae kwa namba +255 712 839 758
Akhsante
Sent using Jamii Forums mobile app