Dereva gari lenye namba su 33480

Dereva gari lenye namba su 33480

Mocrana

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2011
Posts
536
Reaction score
122
huyu dereva amezidi jamani anaendesha gari vibaya, ana overtake hata kwenye kona wala haangalii, sijui kwakuwa naendesha SU jamani hizo ni kodi zetu khaa
 
Yaani tunagawana mshahara nusu kwa nusu na serikali kwa kukatwa kodi halafu anaendesha gari hovyo
 
Ndio kawaida yao wanajina wao nao ni serikali. kuvunja sheria wanaona poa ukizingatia traffic wengi wanawawakaushia lol
Balaa
 
Kwa mtazamo wangu, madereva wa magari ya serikali ndio wanaongoza kwa 'udereva' mbovu na unaohatarisha usalama wa watu wengine...Madereva wa serikali walikuwa zamani, sio sasa...
 
huyu dereva amezidi jamani anaendesha gari vibaya, ana overtake hata kwenye kona wala haangalii, sijui kwakuwa naendesha SU jamani hizo ni kodi zetu khaa

Kwa hiyo wewe unaendesha SU?
 
mi siendeshi SU ila huyo dereva huwa nakutana naye mara nyingi asubuhi huku ninakokaa
 
mi siendeshi SU ila huyo dereva huwa nakutana naye mara nyingi asubuhi huku ninakokaa

unaweza kutabanaisha ni wa mkoa/wilaya gani maana magari ya serikali yako nchi nzima
 
huyu dereva amezidi jamani anaendesha gari vibaya, ana overtake hata kwenye kona wala haangalii, sijui kwakuwa naendesha SU jamani hizo ni kodi zetu khaa
Pole dada hiyo ndiyo maana ya SU..SINA UCHUNGU
 
We acha madereva wa serikali nao pia ni mabosi na magari ni ya kwao maana wanalala nayo nyumbani. Huu ni mfumo mbovu kwani madereva wa UN magari wanalaza ofisini. Madereva wa serikali barabara ni zao wenye na sio madereva wa SU wanaoendesha STK, DFP. Jana nilimwona dereva mmoja anaendesha DFP pale Kituo cha Korogwe Kimara anatokea Kimara anapita kwenda mjini anapita kwenye barabara ya magari yanayoenda Kibaha. Hayo ni madereva wa serikali....
 
Back
Top Bottom