Dereva ABOOD bus mtatuua mwee

Dereva ABOOD bus mtatuua mwee

fanya hivi

Hahahaha kama ulivyofanya sio...!mkuu zillo one jina lako ndo linalokuhukumu hapa,jaman hata kama ni fake Id basi jibunie inayoendana na pale unapotaka kuitumia.
 
Last edited by a moderator:
mfano hapo mkuu copenhagen ulivyo fanya

Kama unatumia simu,tafuta post unayotaka kui- quote,touch screen zitakuja opt mfano REPLY,QUOTE etc,clic QUOTE kisha andika unachotaka kuandika kisha SUBMIT,kama sikueleweka watasaidia wadau wengine.
 
Alileta mabasi mapya hivi karibuni nadhani bado hayajatolewa kafara.
 
dogoo sasa viabudu vinakutoa jasho je ukipanda matreni ya huku mambele siutajam...kitu kinaserereka maamae hadi ikikupita rangi huikumbuki ni laana chaliiyangu. Ukiona inavyokatiza hilo daraja kifaa kinabwaka kikiibuka maamae mpo stockholm. Kikizama tena na kichomoze mpo oslo. Kweli Mzungu hajakariri kasoma nakuelewa.

Mi nashangaa hawa wanaita haya yetu mabasi yaendayo kasi, hawajaona Fjar Tag hawa. Mi nilikuwa nayaogopa yale madude hata sijawahi panda. Nilikuwa najipandia Pendaltag au Tunnelbana tu. Yaani Unasikia tu "fyaaaaa" halafu limeshapotea! Wale jamaa mle ndani wanajisikiaje? 365km/hour? Hawanipati kamwe!!
 
natumia simu.. android

Pole kwa majib uliyopew bt hii ndo jf
Fanya hivi

Tafuta ujumbe unaotak ku quote then uguse(click) ukiwa na rangi ya blue utaon juu kwenye kona kuna neno quote, then andika ujumbe wako na submit
 

Attachments

  • 1420368367422.jpg
    1420368367422.jpg
    35.7 KB · Views: 136
Kama unatumia simu,tafuta post unayotaka kui- quote,touch screen zitakuja opt mfano REPLY,QUOTE etc,clic QUOTE kisha andika unachotaka kuandika kisha SUBMIT,kama sikueleweka watasaidia wadau wengine.

Umeeleweka...
 
kwa mfano nahitaji kumjibu mtu kile alopost.. nafanya vp ili kile alichopost kionekane juu ya jibu langu..

Kuna mahali pemeandikwa reply with quote, bonya hapo itakuja kisanduku chenye hiyo habari na space ya wewe kumjibu, then type there, finaly submit
 
Back
Top Bottom