Deogratius Nalimi Kisandu uko wapi Teacher?

Huyu jamaa Matatizo ya Afya ya Akili plus uchawi wa wasukuma vilimtoa mchezoni Mapema lakini the guy was too bright .

Kama mtu inatoka familia Masikini na ambazo sio educated you need to protect Afya ya Akili Sana na kuwa vizuri kiroho kwa jinsi jamaa alivyokuwa inaonekana walimtoa mchezoni .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…