anayejua kesho ni Mungu!Makonda ni dume la shoka, wamemshindwa sasa wanatafuta kiki . Wenye akili tumeshajua hapa hakuna cha uhuru wa habari wala vyeti hapa ni vita ya kimaslahi na makonda kawanyoosha.
Tunajua yaliyo nyuma siku moja tutasema. Ruge Ridhiwan Ba_hite Nape Mengi GSM wauza unga ikulu dot zitaungana tu siku moja.
Sodoma ilianza hivihiviAcha kuweweseka bwana mdogo.
Hukutishiwa maisha ulipofichua uozo wa kontena 3,000 bandarini watu wakalipa mabilioni na wengi wamepoteza kazi uje kutishwa sasa hivi?
Dhambi ya undumilakuwili na fitna inakutafuna hakuna anaekutafuta acha kujitisha.
Mwisho utajiteka ili uzidi kuonewa huruma.Fanya kazi zako hakuna mwenye shida na wewe
Huyu mjinga na yule gabacholi binti wa sarungi wanapenda sana kiki na drama za kitoto watu wamewapuuza sasa kila siku wanaleta drama.Evarist Chahali naye nimesoma mitandaoni kwamba katishiwa pia
Punguza jazba!Huyu mjinga na yule gabacholi binti wa sarungi wanapenda sana kiki na drama za kitoto watu wamewapuuza sasa kila siku wanaleta drama.
Anaetekwa aambiwi wajinga nyie kwanza mna nini nchi hii mpaka mtekwe hii nchi sio app ya twitter hii nchi ni zaidi ya likes na retweets.
Ben Saaanane muulize Mbowe na kubenea wanajua alipoAlianza kusema Ban Saa nane kwamba anawindwa mkasema Kiki. Kumbe wauaji ni wale wanajitabasamisha wanapoulizwa mambo ya maana. Balile antaka kiki toka kwa nani?
Dume la nini?Alishakupanda nnMakonda ni dume la shoka, wamemshindwa sasa wanatafuta kiki . Wenye akili tumeshajua hapa hakuna cha uhuru wa habari wala vyeti hapa ni vita ya kimaslahi na makonda kawanyoosha.
Tunajua yaliyo nyuma siku moja tutasema. Ruge Ridhiwan Ba_hite Nape Mengi GSM wauza unga ikulu dot zitaungana tu siku moja.
dume sifa zake ni zipi...mbona mnazd kumutonesha mkuu...yaan na hela unachukua kwel unashindwa kuchagua maneno matamu ya kuandika? rudisha buku 7zetu haraka. au ww nu jike ututhibitidhie uliyemtaja kwel ni dume la mbegu? be siriaz basMakonda ni dume la shoka, wamemshindwa sasa wanatafuta kiki . Wenye akili tumeshajua hapa hakuna cha uhuru wa habari wala vyeti hapa ni vita ya kimaslahi na makonda kawanyoosha.
Tunajua yaliyo nyuma siku moja tutasema. Ruge Ridhiwan Ba_hite Nape Mengi GSM wauza unga ikulu dot zitaungana tu siku moja.
Nape aliyekuwa anakupa hizo fulana na kofia unazovaa alionyeshwa Bastola , Malima mitutu imepigwa hewani , anayefuata ni wewe .hahahaha yani mnapenda kiki sana
Na aliye ongoza kundi la waliodai beni kajiteka ni ndugu evarist chahali.Alianza kusema Ban Saa nane kwamba anawindwa mkasema Kiki. Kumbe wauaji ni wale wanajitabasamisha wanapoulizwa mambo ya maana. Balile antaka kiki toka kwa nani?
Wewe ni Jerry Muro?Makonda ni dume la shoka, wamemshindwa sasa wanatafuta kiki . Wenye akili tumeshajua hapa hakuna cha uhuru wa habari wala vyeti hapa ni vita ya kimaslahi na makonda kawanyoosha.
Tunajua yaliyo nyuma siku moja tutasema. Ruge Ridhiwan Ba_hite Nape Mengi GSM wauza unga ikulu dot zitaungana tu siku moja.