WilliK10
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 601
- 283
Kawanyoosha kwa kubaki madarakani na vyeti feki. Wafuatiliaji wa unga tunawajua, kamishna Sianga.Makonda ni dume la shoka, wamemshindwa sasa wanatafuta kiki . Wenye akili tumeshajua hapa hakuna cha uhuru wa habari wala vyeti hapa ni vita ya kimaslahi na makonda kawanyoosha.
Tunajua yaliyo nyuma siku moja tutasema. Ruge Ridhiwan Ba_hite Nape Mengi GSM wauza unga ikulu dot zitaungana tu siku moja.