Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Mwenyekiti wa CCM mkoani Njombe, Deo Sanga amesema Humphrey Polepole amechanganyikiwa kutokana na utendaji mzuri wa Rais Samia Suluhu ambao hakuutegemea.
Akiongea leo Septemba 05, 2025, mjini Njombe, katika kampeni za mgombea wa Urais wa CCM, aliyekuwa Mbunge wa Makambako, Deo Sanga, amemkosoa vikali kada wa CCM, Humphrey Polepole kwa ukosoaji anaoufanya kwa CCM, na mgombea wa Urais, Samia Suluhu Hassan.
"Hata watu Mheshimiwa Mwenyekiti wanaokutukana wewe ni kuchanganyikiwa, akiwepo huyo Polepole amechanganyikiwa Mheshimiwa Mwenyekiti. Ulipomteua kuwa Mbunge,yeye ni miongoni waliyokuwa anasema huyu mama miradi hii mikubwa hataimaliza.Amekuta miradi yote kwisha umemaliza na unaendelea nayo vizuri na kwa sababu alikuwa na mipango mingine sasa amechanganyikiwa."
Akiongea leo Septemba 05, 2025, mjini Njombe, katika kampeni za mgombea wa Urais wa CCM, aliyekuwa Mbunge wa Makambako, Deo Sanga, amemkosoa vikali kada wa CCM, Humphrey Polepole kwa ukosoaji anaoufanya kwa CCM, na mgombea wa Urais, Samia Suluhu Hassan.
"Hata watu Mheshimiwa Mwenyekiti wanaokutukana wewe ni kuchanganyikiwa, akiwepo huyo Polepole amechanganyikiwa Mheshimiwa Mwenyekiti. Ulipomteua kuwa Mbunge,yeye ni miongoni waliyokuwa anasema huyu mama miradi hii mikubwa hataimaliza.Amekuta miradi yote kwisha umemaliza na unaendelea nayo vizuri na kwa sababu alikuwa na mipango mingine sasa amechanganyikiwa."