Dennis Roberts Shughuru anairudisha jamiiforum ya zamani ambayo kulikuwa na mijadala yenye tija kwa nchi

Dennis Roberts Shughuru anairudisha jamiiforum ya zamani ambayo kulikuwa na mijadala yenye tija kwa nchi

Kijeba Kijeba

Senior Member
Joined
Mar 7, 2024
Posts
153
Reaction score
212
Miaka ya karibuni ni ukweli usiopingika JamiiForums ilianza kupoteza mvuto kwa watu kama sisi ambao tunapenda intellectual discussion tulikuwa tuna-miss sana hii mijadala

Kuna wakati mijadala hii ya muhimu tulikuwa tunaifuata twitter huku ilikosekana mbaya zaidi unakutana na yakina machawa palikuwa panaboa sana kwa watu ambao tunapenda kudiscuss mambo ya msingi

Ila Dennis Robert Shughuru ameirudisha JamiiForums ya zaman naamini kwenye nyuzi zake kuna mpaka viongozi wa serikali wanazifuata

Nampongeza kwenye nyuzi zake haziharibu nikimaanisha hata mtu amtukane, au kumdhihaki kwa lengo la kumtoa kwenye reli yeye anapuuzia hii inafanya uzi usiharibike ni tofauti na nyuzi nyingine mleta uzi ghafla anaanza kuporomosha matusi na dhihaka mwisho wa siku anaharibu uzi

Nikiingia JamiiForums straight kwenye nyuzi zake napata madini na napenda anavyofikiri tofauti
 
Miaka ya karibuni ni ukweli usiopingika jamiiforums ilianza kupoteza mvuto kwa watu kama sisi ambao tunapenda intellectual discussion tulikuwa tuna-miss sana hii mijadala

Kuna wakati mijadala hii ya muhimu tulikuwa tunaifuata twitter huku ilikosekana mbaya zaidi unakutana na yakina machawa palikuwa panaboa sana kwa watu ambao tunapenda kudiscuss mambo ya msingi

Ila Dennis Robert Shughuru ameirudisha jamiiforums ya zaman naamini kwenye nyuzi zake kuna mpaka viongozi wa serikali wanazifuata

Nampongeza kwenye nyuzi zake haziharibu nikimaanisha hata mtu amtukane, au kumdhihaki kwa lengo la kumtoa kwenye reli yeye anapuuzia hii inafanya uzi usiharibike ni tofauti na nyuzi nyingine mleta uzi ghafla anaanza kuporomosha matusi na dhihaka mwisho wa siku anaharibu uzi

Nikiingia jamiiforum straight kwenye nyuzi zake napata madini na napenda anavyofikiri tofauti
Tag nyuzi zake tujadili
 
Miaka ya karibuni ni ukweli usiopingika jamiiforums ilianza kupoteza mvuto kwa watu kama sisi ambao tunapenda intellectual discussion tulikuwa tuna-miss sana hii mijadala

Kuna wakati mijadala hii ya muhimu tulikuwa tunaifuata twitter huku ilikosekana mbaya zaidi unakutana na yakina machawa palikuwa panaboa sana kwa watu ambao tunapenda kudiscuss mambo ya msingi

Ila Dennis Robert Shughuru ameirudisha jamiiforums ya zaman naamini kwenye nyuzi zake kuna mpaka viongozi wa serikali wanazifuata

Nampongeza kwenye nyuzi zake haziharibu nikimaanisha hata mtu amtukane, au kumdhihaki kwa lengo la kumtoa kwenye reli yeye anapuuzia hii inafanya uzi usiharibike ni tofauti na nyuzi nyingine mleta uzi ghafla anaanza kuporomosha matusi na dhihaka mwisho wa siku anaharibu uzi

Nikiingia jamiiforum straight kwenye nyuzi zake napata madini na napenda anavyofikiri tofauti
Kwani Denis una ID ngapi humu?
 
Miaka ya karibuni ni ukweli usiopingika jamiiforums ilianza kupoteza mvuto kwa watu kama sisi ambao tunapenda intellectual discussion tulikuwa tuna-miss sana hii mijadala

Kuna wakati mijadala hii ya muhimu tulikuwa tunaifuata twitter huku ilikosekana mbaya zaidi unakutana na yakina machawa palikuwa panaboa sana kwa watu ambao tunapenda kudiscuss mambo ya msingi

Ila Dennis Robert Shughuru ameirudisha jamiiforums ya zaman naamini kwenye nyuzi zake kuna mpaka viongozi wa serikali wanazifuata

Nampongeza kwenye nyuzi zake haziharibu nikimaanisha hata mtu amtukane, au kumdhihaki kwa lengo la kumtoa kwenye reli yeye anapuuzia hii inafanya uzi usiharibike ni tofauti na nyuzi nyingine mleta uzi ghafla anaanza kuporomosha matusi na dhihaka mwisho wa siku anaharibu uzi

Nikiingia jamiiforum straight kwenye nyuzi zake napata madini na napenda anavyofikiri tofauti
Upo sahihi. Uvumilivu na utulivu katika mjadala wa mtandaoni ni sifa adimu sana. Mleta mada anapoweza kudhibiti hisia zake hata anapochokozwa, anaonesha ukomavu wa fikra na heshima kwa wasomaji. Ni mfano mzuri wa jinsi mijadala inaweza kuwa na tija bila kugeuka uwanja wa matusi au malumbano yasiyo na msingi. Hii ni tabia ya kuigwa.
 
Upo sahihi. Uvumilivu na utulivu katika mjadala wa mtandaoni ni sifa adimu sana. Mleta mada anapoweza kudhibiti hisia zake hata anapochokozwa, anaonesha ukomavu wa fikra na heshima kwa wasomaji. Ni mfano mzuri wa jinsi mijadala inaweza kuwa na tija bila kugeuka uwanja wa matusi au malumbano yasiyo na msingi. Hii ni tabia ya kuigwa.
Usijidanganye mbona anajibu na matusi na ID zake zingine fake?
 
Miaka ya karibuni ni ukweli usiopingika JamiiForums ilianza kupoteza mvuto kwa watu kama sisi ambao tunapenda intellectual discussion tulikuwa tuna-miss sana hii mijadala

Kuna wakati mijadala hii ya muhimu tulikuwa tunaifuata twitter huku ilikosekana mbaya zaidi unakutana na yakina machawa palikuwa panaboa sana kwa watu ambao tunapenda kudiscuss mambo ya msingi

Ila Dennis Robert Shughuru ameirudisha JamiiForums ya zaman naamini kwenye nyuzi zake kuna mpaka viongozi wa serikali wanazifuata

Nampongeza kwenye nyuzi zake haziharibu nikimaanisha hata mtu amtukane, au kumdhihaki kwa lengo la kumtoa kwenye reli yeye anapuuzia hii inafanya uzi usiharibike ni tofauti na nyuzi nyingine mleta uzi ghafla anaanza kuporomosha matusi na dhihaka mwisho wa siku anaharibu uzi

Nikiingia JamiiForums straight kwenye nyuzi zake napata madini na napenda anavyofikiri tofauti
Ebu mtag Mkuu
 
Sawa bwa Robert sasa tukuungishe biashara yako ama tuendelee kujadili nyuzi zako?
 
Miaka ya karibuni ni ukweli usiopingika JamiiForums ilianza kupoteza mvuto kwa watu kama sisi ambao tunapenda intellectual discussion tulikuwa tuna-miss sana hii mijadala

Kuna wakati mijadala hii ya muhimu tulikuwa tunaifuata twitter huku ilikosekana mbaya zaidi unakutana na yakina machawa palikuwa panaboa sana kwa watu ambao tunapenda kudiscuss mambo ya msingi

Ila Dennis Robert Shughuru ameirudisha JamiiForums ya zaman naamini kwenye nyuzi zake kuna mpaka viongozi wa serikali wanazifuata

Nampongeza kwenye nyuzi zake haziharibu nikimaanisha hata mtu amtukane, au kumdhihaki kwa lengo la kumtoa kwenye reli yeye anapuuzia hii inafanya uzi usiharibike ni tofauti na nyuzi nyingine mleta uzi ghafla anaanza kuporomosha matusi na dhihaka mwisho wa siku anaharibu uzi

Nikiingia JamiiForums straight kwenye nyuzi zake napata madini na napenda anavyofikiri tofauti
Same I'd
 
Unajisikiaje kujiandikia thread na kujisifia mwenyewe?

Yani unachofanya ni kuswitch huku na huku,,,,,,

Haya jipigie makofi
 
Back
Top Bottom