Stoudemire
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 839
- 207
I think we are also heading there. Maana hiyo current account deficit kwetu ni kawaida kila mwaka. Na serikali ndio imeajiri watu kibao na wilaya zinaongezwa. On top inflation juu na madeni kwa maana hiyo yanaongezeka. Mwisho na sisi tutaanza kuomba wananchi na mashirika ya kimataifa yaisamehe serikali. Ukifika hapo ni balaa. Kwa kifupi credit rating ya serikali ya bongo inatakiwa iwe chini kwa sasa kunahaja kuwaita standards and poors waje kuangalia.