Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,957
- 8,073
Serikali ya Kenya yakiri deni la Taifa ksh tilioni tano ni zito na ni ngumu kulilipa..Source kupitia Gazeti la taifa leo..
Haoni italeta athari kubwa kwa ustawi wa nchi yao
SISI TUMEZOEA UKWELI NA NDIO SABABU NCHI INAKUA KWA KASI.Haoni italeta athari kubwa kwa ustawi wa nchi yao
Ili muendelee kuwapa watoto kinyesi watafune.Sisi tunaposamehewa kuna machizi humu wanacheka.
Hawajui kukaa LDC for decades ni mission.
Serikali ya Kenya yakiri deni la Taifa ksh tilioni tano ni zito na ni ngumu kulilipa..Source kupitia Gazeti la taifa leo..
Mkuu Tanzania inakopesheka kwa sababu inalipa madeni yake..Kenya bandari ya Mombasa mchina anaitaka wanakopa kupita naksi yao ya uchumi wanalipana mishahara mikubwa + ufisadi ni balaa
HahahahaSISI TUMEZOEA UKWELI NA NDIO SABABU NCHI INAKUA KWA KASI.
Kenya ni kama 100 Trillion Tsh na Tanzania ni 61 Trillion Tshs lakini uchumi wa Kenya upo juu kidogo yawezakuwa tupo katika hali zinazofanana wachumi wanaweza saidia hapa.Serikali ya Kenya yakiri deni la Taifa ksh tilioni tano ni zito na ni ngumu kulilipa..Source kupitia Gazeti la taifa leo..
Tatizo la Kenya wanaendelea kukopa Mara tano zaidi ya Tanzania, pesa wanayokusanya yote inaishia kulipia mishahara ya watumishi wa umma, na kiasi kikubwa kinachobaki kinaishia katika mifuko ya wajanja, hawana kinachobaki kwa ajili ya kulipa deni, Tanzania ni kinyume chake.Kama Kenya inadaiwa trilioni hizo na makusanyo ya kodi ni Mara mbili yetu na deni letu ni nusu ya deni LA Kenya , naona hatuchekani tuko jahazi moja. Kenya watakuwa hatua moja mbele na sisi tunafuatia shimoni humo walimotumbukia . Hapa ni mashindano ya mbikimo wawili mmoja akidai kuwa ni mrefu kulikowenie wakati ukweli halisi wrote ni wafupi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Na nyie mmesamehewa Deni lakini bado mnazama kwenye Lindi la umasikini....
Kama kuzama kwenye lindi la umasikini ni kiwa kama tz,basi wacha tupotelee huko.
Kama kutoka kwenye umasikini ni kuwa kama Kenya.aisee basi hakuna maana.
Umasikini wa RAIA walio wengi inatisha Kenya kuwa na Uchumi mkubwa alafu wanatumia wachache ndio wanao faidika ni hatari sanaNa nyie mmesamehewa Deni lakini bado mnazama kwenye Lindi la umasikini....
Umasikini wa RAIA walio wengi inatisha Kenya kuwa na Uchumi mkubwa alafu wanatumia wachache ndio wanao faidika ni hatari sana