Umeliwa bro.Yesu wake huyo sio Yesu kristo wa nazareti.Mbona wapo wengi tu mtaani hao yesu.Jana nilibet nikashinda Sh 35000. mida ya jiono nikaingia kitaa uku nikivimba demu wangu si kaniona akaniomba sh 5000 kwa jeuli nikamgea sh 10000 uku natabasamu.
Dah uwezi kuamini alicho niambia "eti oh BABY UNACHEKA KAMA YESU " dah yani hadi now najiuliza IV ni kweli nacheka kama YESU au ndo uh upepo ULIO INGIA MTAANI
Umeliwa bro.Yesu wake huyo sio Yesu kristo wa nazareti.Mbona wapo wengi tu mtaani hao yesu.
NB.Kuna YESU na yesu.
Ahaaa haaa inaonyesha hujawahi kumpa hela kubwa hivyoJana nilibet nikashinda sh 35,000. Mida ya jioni nikaingia kitaa huku nikivimba, demu wangu si kaniona akaniomba sh 5000 kwa jeuri nikamgea sh 10000 huku natabasamu.
Dah uwezi kuamini alicho niambia "Eti oh baby unacheka kama Yesu " dah yani hadi now najiuliza hivi ni kweli nacheka kama Yesu au ndio uh upepo ulioingia mtaani.
Haha, siku akikuomba ukawa huna, atakwambia yaani UNACHUNGULIA HELA KAMA YUDA