Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,056 141,869 Oct 17, 2019 #21 Hizo zinaitwa kachumbali... Siku ukimpa elfu ishirini alafu ukajamba... utamsikia... "Baby pole, umeumia? Cc: mahondaw
Hizo zinaitwa kachumbali... Siku ukimpa elfu ishirini alafu ukajamba... utamsikia... "Baby pole, umeumia? Cc: mahondaw
mshipa JF-Expert Member Jun 16, 2015 12,160 22,615 Oct 17, 2019 #22 EvilSpirit said: Ungemgempa 35000 yote angesema unacheka kama mungu Click to expand...
Tony-stark JF-Expert Member Jul 20, 2019 1,020 1,326 Oct 17, 2019 #23 Aisee Mimi juzi aliniambia nimefanana na bwana wake wa tandale, nikaishia kucheka cheka tu😂😂😂 "Vipi Mbona unashangaa Kuna tatizo mahali"😐😐😐
Aisee Mimi juzi aliniambia nimefanana na bwana wake wa tandale, nikaishia kucheka cheka tu😂😂😂 "Vipi Mbona unashangaa Kuna tatizo mahali"😐😐😐
Kisange JF-Expert Member Nov 21, 2015 368 315 Oct 18, 2019 #26 Lakini mkuu ungejaribu kufuatilia chimbuko lenu vizuri.. Sengine wewe ndo yesu labda!!😃
S Superb2014 JF-Expert Member Jul 29, 2017 8,464 6,507 Oct 19, 2019 #27 Hahahahahaha kazi kweli kweli.
Ndebile JF-Expert Member Sep 14, 2011 7,237 9,871 Oct 22, 2019 #28 Nani anaamini thread zinaweza kuisha hapa JF?