Demu wangu amenitenda je nifanyeje?

Demu wangu amenitenda je nifanyeje?

Ally Kissinga

Member
Joined
Sep 19, 2013
Posts
9
Reaction score
1
nilikuwa na dem wngu tumekaa kwnye uhusiano takriba miaka 3 hla alibadilka ghafla nakuniambia hanitak hila cku za karbu ameanza kutuma sms. za kimahaba nahic anatka kurud je nifanyejee?
 
nilikuwa na dem wngu tumekaa kwnye uhusiano takriba miaka 3 hla alibadilka ghafla nakuniambia hanitak hila cku za karbu ameanza kutuma sms. za kimahaba nahic anatka kurud je nifanyejee?


Kuna mtu anaitwa Osokoni, muulize atakupa ushauri nini cha kufanya. Yalimpata kama hayo na Lara1 alilieza hapa jinsi alivyokabiliana na hali hiyo.
 
vumilia hio ni hali ya kawaida ya mwanadamu siku hizi kutendwa ni kama kuumwa maleria tu haiitaji tena ushauri zaidi ya yote msamehe mrudiane na mfunge ndoa mambo hayo ya kutendwa ndio mwisho wake.
 
pole sana..... atakuumiza zaidi ya hapo kama utaamua kumrudi! Mwabie akupe sababu za kukuacha na sababu za kutaka kurudi.
Japo unaonekana unampenda ndio maana hujui chakufanya.
 
Urafiki gani wa miaka 3 bila malengo unamgegeda mtoto wa watu haumwelezi hatma ya mahusiano yenu ukiachwa unalalamika. Miaka 3 si hata mtoto ameshakuwa mkubwa. Huyo binti anatafuta mume sasa muda unaenda haueleweki. Ila kwasabu ya nyege na upweke anataka umpashe kidogo. Wala ukute hana mtu ni wasiwasi wako tu hujiamini. Alikuacha kama kukupa ishara kwamba vipi mbona muda unaenda haueleweki? So usiwaze mengine. Kwahiyo hilo siyo la kuomba ushauri jiongeze mwenyewe. Hivi vijana mnatumia ujana hivyo uzee wenu utakuwaje? Mnaendekeza sana udemu na uboyfriend for more than 3 years na bado si uchumba, mtajenga maisha lini nyie? Wengine mtasema hamna hela unaogopa kuoa hebu piga hesabu kwa mwezi unalipa bei gani gesti kukutana naye au hata kama anakuja geto kila akija unampa posho kiasi gani na mkitoka out mnakula kiasi gani? Bado club na starehe zingine. Hizo gharama ukiwa kwenye ndoa unaishi vizuri na mkeo na mtoto mnakuza wakati mnatafuta maisha. Pole kama nimekuzidishia dozi ila imeze tu usikasirike.
 
nilikuwa na dem wngu tumekaa kwnye uhusiano takriba miaka 3 hla alibadilka ghafla nakuniambia hanitak hila cku za karbu ameanza kutuma sms. za kimahaba nahic anatka kurud je nifanyejee?
kawaida yao hao
 
Usikilize moyo wako......


"The truth is hard to swallow when you're choking on your pride."
 
nilikuwa na dem wngu tumekaa kwnye uhusiano takriba miaka 3 hla alibadilka ghafla nakuniambia hanitak hila cku za karbu ameanza kutuma sms. za kimahaba nahic anatka kurud je nifanyejee?

Hahaaa rudisha majeshi ule retirement benefits
 
ni kawaida kuachana na kurudiana ktk mahusiano so km una malengo nae mrudie tu.
 
once a traitor always a traitor ,kwa hapo kama kashaanza usalit mfute kwenye data sheet ,kama kashaanza hiyo tabia hata akiwa ndan ya ndoa ataendelea kuwa mchepuko ,ushaur tafuta mwingine mwenye mapenzi ya dhat na uvumilivu ,huyo amekosa uvimilivu hata kama mlikuwa kwenye uchumba kwa miaka mitatu alipaswa kukaa na wewe kukueleza nin kinachomsibu ,kulikon kuamua kuchepuka ,then anajifanya kurud kinafiki ,huyo ni "green grass in the snake"
 
Back
Top Bottom