Demu wangu amenitenda je nifanyeje?

Demu wangu amenitenda je nifanyeje?

nilikuwa na dem wngu tumekaa kwnye uhusiano takriba miaka 3 hla alibadilka ghafla nakuniambia hanitak hila cku za karbu ameanza kutuma sms. za kimahaba nahic anatka kurud je nifanyejee?
hilo ni tatizo dogo sana. nipe namba yake solution itapatikana muda si mrefu na nitakupa jibu kama unatakiwa kumsaheme uendelee naye au umpotezee. ni pm namba yake mzee, tafadhali.
 
kashagegedwa huyo.... kaona hamna future anajileta kwako.... kula ganzi ka utaweza
 
kwanza una umri gan? uckute ndo kwanza upo kidato, maana 3 yrs ni mingi sana kwenye relation, kama umri unakuruhusu vuta uoe kabisa
 
kuna rafiki yangu mmoja anapenda kusema sisi wanaume n mabwege,, Ushapenda sasa, kua mpole
 
wote naona bado ni mademu hamjielewi, mwanamke umekuwa naye miaka3 bado unamwita demu!!!!!
 
Kupenda kumepitwa na wakati...
Chapa ilale ndo habari ya mjini... Ukipenda utapoteza mda buree... Na kupoteza gharama zisizo za lazima.
 
nilikuwa na dem wngu tumekaa kwnye uhusiano takriba miaka 3 hla alibadilka ghafla nakuniambia hanitak hila cku za karbu ameanza kutuma sms. za kimahaba nahic anatka kurud je nifanyejee?

Dem n.kitu gani wewe??????


Sasa moyo wako uko ndani yako n.kiasi tu cha kupima maji na unga kipi kina nguvu zaidi au mkuu CYBERTEQ nimekosea pitia hapa
 
Last edited by a moderator:
nilikuwa na dem wngu tumekaa kwnye uhusiano takriba miaka 3 hla alibadilka ghafla nakuniambia hanitak hila cku za karbu ameanza kutuma sms. za kimahaba nahic anatka kurud je nifanyejee?

Pole mkuu inaonyesha alichepuka kidogo mambo yakawa sio mazur huko alipo enda ila mpe muda kidogo ajutie kosa lake then msamehe muende sawa
 
Urafiki gani wa miaka 3 bila malengo unamgegeda mtoto wa watu haumwelezi hatma ya mahusiano yenu ukiachwa unalalamika. Miaka 3 si hata mtoto ameshakuwa mkubwa. Huyo binti anatafuta mume sasa muda unaenda haueleweki. Ila kwasabu ya nyege na upweke anataka umpashe kidogo. Wala ukute hana mtu ni wasiwasi wako tu hujiamini. Alikuacha kama kukupa ishara kwamba vipi mbona muda unaenda haueleweki? So usiwaze mengine. Kwahiyo hilo siyo la kuomba ushauri jiongeze mwenyewe. Hivi vijana mnatumia ujana hivyo uzee wenu utakuwaje? Mnaendekeza sana udemu na uboyfriend for more than 3 years na bado si uchumba, mtajenga maisha lini nyie? Wengine mtasema hamna hela unaogopa kuoa hebu piga hesabu kwa mwezi unalipa bei gani gesti kukutana naye au hata kama anakuja geto kila akija unampa posho kiasi gani na mkitoka out mnakula kiasi gani? Bado club na starehe zingine. Hizo gharama ukiwa kwenye ndoa unaishi vizuri na mkeo na mtoto mnakuza wakati mnatafuta maisha. Pole kama nimekuzidishia dozi ila imeze tu usikasirike.
Umesomeka kamanda!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Aaah jamani amehesabu tokea alipokuwa form two hadi alipomaliza form six
 
nilikuwa na dem wngu tumekaa kwnye uhusiano takriba miaka 3 hla alibadilka ghafla nakuniambia hanitak hila cku za karbu ameanza kutuma sms. za kimahaba nahic anatka kurud je nifanyejee?

Huyo kuna jamaa alimchukua na kufikiri ni kifaa , baada ya kumega akapiga chini. Demu hana msimamo huyo .kwa maana nyingine kicheche. Ukimpokea atatokea kidume mwingine na kumwaga sera atamega na ww kazi yako itakuwa kuwalelea vidume wenzio. Ahhhh!!!!! Wanawake bana?????. Ukiwa tayari kwa hilo beba kifaa weka ndani.
 
Mpotezee!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom