Demu muuza genge ananipenda

Demu muuza genge ananipenda

Punguza ujinga, kuombwa chenji ndiyo unamuwazia yote hayo...
 
Tuone hiyo mitupio yako, asije akawa anashangaa unavyotupia kidenzi afu ukajua manzi amekuelewa
 
Huu uzi bila kapicha ka huyu mwanaume akiwa katupia hayo matambala ni batili!
Pia ongezea na picha ya huyo binti akiwa anakushangaa!!
 
Wewe ni choko kweli,mwanaume hii ndo la kuleta humu,Bure kabisa
 
Hayo mambo ya kumkubali hayana ishu, Nyuzi kama hizi huwa nauliza swali moja tu, umeshapiga ?

strchw.gif
 
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale nimefungua ofisi kubwa sana hapa mjini ya kuchezesha game pes sasa hapa ofisini kuna mkusanyiko mkubwa wa biashara sasa kuna mdada mmoja hapa ana genge ni bonge moja LA demu lakini toka nimefungua sina mazoea nae ila cha kushangaza demu anafosi mazoea mara aje aombe chenchi Mara anisalimje salimie, Mimi no MTU wa kuvaaa saana natupia mno nafikiria demu kadata na mitupio yangu halafu Mimi ni MTU wa kukaa kimya kujali mambo yangu so demu ameonyesha kila dalili ya kunielewa maana mda mwingi amekuwa akinitizama sana,
Wakuu ushauri wenu naona kama sijamuelewa na sitaki kumfanya aumie moyo nifanyaje?
dawa ya wanawake kama hao ni anasbo
 
Uje usemee umemlaaa kimasiharaaa sasa......
 
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale nimefungua ofisi kubwa sana hapa mjini ya kuchezesha game pes sasa hapa ofisini kuna mkusanyiko mkubwa wa biashara sasa kuna mdada mmoja hapa ana genge ni bonge moja LA demu lakini toka nimefungua sina mazoea nae ila cha kushangaza demu anafosi mazoea mara aje aombe chenchi Mara anisalimje salimie, Mimi no MTU wa kuvaaa saana natupia mno nafikiria demu kadata na mitupio yangu halafu Mimi ni MTU wa kukaa kimya kujali mambo yangu so demu ameonyesha kila dalili ya kunielewa maana mda mwingi amekuwa akinitizama sana,
Wakuu ushauri wenu naona kama sijamuelewa na sitaki kumfanya aumie moyo nifanyaje?
Kwahiyo kukusalimia,kukuomba chenji,na kukutazama tayari umejua anakupenda!inawezekana kama unavyosema unapiga pamba anakukubali uvaaji wako,sasa nakuonea huruma,siajabu siku utakapomwambia unahitaji kuwa naye kimapenzi ukabaki unashangaa anakutolea nje ukabakia kutoa macho...
 
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale nimefungua ofisi kubwa sana hapa mjini ya kuchezesha game pes sasa hapa ofisini kuna mkusanyiko mkubwa wa biashara sasa kuna mdada mmoja hapa ana genge ni bonge moja LA demu lakini toka nimefungua sina mazoea nae ila cha kushangaza demu anafosi mazoea mara aje aombe chenchi Mara anisalimje salimie, Mimi no MTU wa kuvaaa saana natupia mno nafikiria demu kadata na mitupio yangu halafu Mimi ni MTU wa kukaa kimya kujali mambo yangu so demu ameonyesha kila dalili ya kunielewa maana mda mwingi amekuwa akinitizama sana,
Wakuu ushauri wenu naona kama sijamuelewa na sitaki kumfanya aumie moyo nifanyaje?
Duh, utoto raha!
 
Kuuza genge siyo kilema, ni njia tu ya kujitafutia riziki. Unaposema demu muuza genge una wakwaza watu wengi. Kuna watu wanakazi nzuri ila wake zao wanauza magenge. Jifunze kuheshimu kazi za watu.

Wengine biashara za magenge ndo zimetusomesha.
 
Back
Top Bottom