Demu Kaniacha Ghafla Bila Sababu?

Demu Kaniacha Ghafla Bila Sababu?

Mkuu kwanza unajua kwanini demu hakutoki kichwani????jibu ni kwamba kwa sababu hujamchakata mbususu yake..

Halafu inabidi uelewe huyo ni mtoto mdogo hawezi kukushinda we mtafute jishushe then ukichakata mbususu PITA HIVI.
 
Kuendelea kuhangaika na huyo binti ni udhaifu mkubwa

Kuendelea kupiga simu na text zisizojibiwa ni kujishushia heshima, waswahili wanasema kubwa jinga.

Kuendelea na hayo mahusiano ni maumivu yasiyo na mfano, chuo kuna mafisi na vijana mabishoo, utalizwa

Mwisho: huyo binti iko siku isiyo na jina atakutafuta na kurudisha mapenzi ila ukikubali huu mtego nakuingia, hakika utalia na kusaga meno

Talking from experience!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwanza unajua kwanini demu hakutoki kichwani????jibu ni kwamba kwa sababu hujamchakata mbususu yake..

Halafu inabidi uelewe huyo ni mtoto mdogo hawezi kukushinda we mtafute jishushe then ukichakata mbususu PITA HIVI.
Akishafinyiwa ndani ndo atakuwa zezeta kabisa, ni kheri asiguse na akipewa aikimbie mbususuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwanza unajua kwanini demu hakutoki kichwani????jibu ni kwamba kwa sababu hujamchakata mbususu yake..

Halafu inabidi uelewe huyo ni mtoto mdogo hawezi kukushinda we mtafute jishushe then ukichakata mbususu PITA HIVI.
Wee bwana wee....kuna demu umechakata na bado hakutoki akillini. Yaani mie atanifurukute vipi kuna mwanamke huyo hatoki kabisa akilini
 
Mkuu Tumeshasuluhisha Sana Kesi Za Mapenzi Lakn Mnakua Wagumu Kuelewa,Hebu Kapitie Nyuzi Za Juu Tulishapost Majibu Ya Hili Swali
 
Huyo atakutafuta mwenyewe akishakua single mother, mtindi umelala yoooo na kutelekezwa juu na msela anaempelekea motro wkt huu.

Atakuja kwa gia za kumnanga jamaa yake na kujishusha kwa kukuonyesha maupendo na mauno kama yote kitandani ili kuisaka ndoa kwako. Ukiwa boya utaoa na lijamaa litaendelea kukuchapia kama kawa.

Uamuzi ni wako.
 
Back
Top Bottom